Nataka kwenda kuchora Tatoo

Nataka kwenda kuchora Tatoo

Najua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni malaya sana

Ulimtukanaga mpaka mkwe wako

Humuheshimu mumeo kisa kiwete.

Ila kama upo serious njoo inbox nikupe namba ya mchora tatoo mashuhuri
 
Bora umchore mwanao au wazazi wako, hawa ndugu zetu wa kiume hawakawii kukugeuka baadae ukaja jifuta na pasi hiyi tattoo.
Kuna mmoja yuko mwananyamala manjunju/posta kama unashuka kuelekea mwananyamala B shule ya msingi. Nimeona kawachora rafiki zangu watatu vizuri sana na bei rahisi tu.
Siku nikipata ujasiri nitaenda kuchora jina la my son..
 
kila la kheri ila fikiria mara 2, anaweza kuja wa muhimu zaidi ya huyo na akakwazwa na iyo tatoo kwa kuona juhudi zake na kila kitu kwako si kitu ivo kukata tamaa ingali ww ukimuhitaji bado .
Nimepokea maoni yako ila Mimi nikitamani kitu hata liwe bomu raha yangu ni kulitenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa begani nimechora tatoo yenye maneno John 3:16 ambayo tafsiri yake haraka haraka ni Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.. Alinichora jamaa mmoja anaitwa Pollo, nilimuita akanifata ninapoishi, saivi kawa staa kidogo sijui hata huduma yake ipoje, lkn ana ofisi Bamaga
Naomba unielekeze mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa nilimuona anatoa ushuhuda kanisani kwa nabii Magaya wa Zimbabwe kupitia Yadah tv anaeleze jinsi gani tatoo zilivyo demonic na ni dhambi na aliquote mstari kutoka mambo ya walawi

Yani jamaa alijichora kila sehemu ya mwili wake...na ye mwenyewe alikuwa mchora tatoo

So think twice

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa makanisa mna tabu nyie lol! Mara walawi mara ushuhuda basi taflani! Kila mtu atabeba dhambi zake,nipe location mengine niachie mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi wako hapa kuhusu Baba wa mtoto wako wa kwanza kama sikosei anaitwa Abedi ambaye sasa ni marehemu. Kama ni jina lake basi mie ushauri wangu usiweke maana hujui mumeo litamgusa vipi au umwambie nia yako huyu wa sasa ili uone reaction yake, lakini kama ni la mumeo huyu wa sasa ambaye alikuhudumia kwa hali na mali baada ya Abedi kufariki na wewe ukiwa mjamzito basi hakuna neno RUKHSA.
Kassim ndie Marehemu (Allah ampunguzie adhabu ya kabri,amuweke kivulini) Abeid ndie mume wangu,ndani ya nyumba yetu jina Kassim halijafa lipo maana moja ya watoto wetu tumempa jina hilo hivyo linaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Na mm napenda hio kitu lkn ndo ivo haifai......rudi nyuma bibie fikiri kabla ya kutenda ili usijutie baadae
 
Mwana kwetu vip ten usifurahishe nafsi yako ukasahau kumfurahisha Alosimamisha mbingu bila ya nguzo kama umeamua kumfurahisha huyo umpendae unaweza ukamfanyia chochote ambacho hatakisahau katk kumbukumbu zake tattoo ni haramu na ni dhambi pia ngoj niishie hapa.
Nakuelewa sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom