Asante kwa pole ila hamjui ninalotaka kulifanya,mna piga ramli tu mpaka manyanga yachomokeKama unachora kwa faida yako fanya ila kama ni kumfurahisha mtu hasa mwanaume ahaaaa eti daima aishi mwilini mwako??? Pole sana.
Kama ni mzazi wako nenda hata sasa hivi ila mwanaume pole in advance hawanaga shukrani.
Wakati unaangaika na kugarimia hayo yote anambinua mwingine.
Duh! Mie nimemtukana mume wangu kisa kiwete! Hakika Dunia ina vichaa hiiWewe ni malaya sana
Ulimtukanaga mpaka mkwe wako
Humuheshimu mumeo kisa kiwete.
Ila kama upo serious njoo inbox nikupe namba ya mchora tatoo mashuhuri
haya nipe ramani ya kunifikisha kwa mchora Tatoo na mawasiliano yakeAngalau umenijibu swali langu,shukrani sanaBora umchore mwanao au wazazi wako, hawa ndugu zetu wa kiume hawakawii kukugeuka baadae ukaja jifuta na pasi hiyi tattoo.
Kuna mmoja yuko mwananyamala manjunju/posta kama unashuka kuelekea mwananyamala B shule ya msingi. Nimeona kawachora rafiki zangu watatu vizuri sana na bei rahisi tu.
Siku nikipata ujasiri nitaenda kuchora jina la my son..
kwanza wewe ni muongo ukisema Kasimu amepata ajali na mama mkwe wako anakutesaDuh! Mie nimemtukana mume wangu kisa kiwete! Hakika Dunia ina vichaa hii![]()
![]()
haya nipe ramani ya kunifikisha kwa mchora Tatoo na mawasiliano yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Babe kwa hiyo nifute hii yako ya kifuaani upande wa kushoto?Bora umchore mwanao au wazazi wako, hawa ndugu zetu wa kiume hawakawii kukugeuka baadae ukaja jifuta na pasi hiyi tattoo.
Kuna mmoja yuko mwananyamala manjunju/posta kama unashuka kuelekea mwananyamala B shule ya msingi. Nimeona kawachora rafiki zangu watatu vizuri sana na bei rahisi tu.
Siku nikipata ujasiri nitaenda kuchora jina la my son..
Watanzania kwa hofu ya kujutia tu hamjambo! Kumbuka hujakosea hujafanikiwaDah! Na mm napenda hio kitu lkn ndo ivo haifai......rudi nyuma bibie fikiri kabla ya kutenda ili usijutie baadae
Karibu mamii..
Bby si tulikubaliana nitakuchora nikimaliza kuchora watoto? Wewe nichore mimi nachora watoto wetu kwanza..Babe kwa hiyo nifute hii yako ya kifuaani upande wa kushoto?
Wanadhani we ni mtoto bado hujajua nini unataka ndo maana kila kitu dhambi dhambi.... wamesahau kuzini pia ni dhambi na wanafanya. Kachore mwaya akikuzingua unachora ua maishs yanaendelea.Watanzania kwa hofu ya kujutia tu hamjambo! Kumbuka hujakosea hujafanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda nipe njia,hicho tu ndicho ninachohitaji ! Dunia hii kwa dhambi huwezi kuishinda kila mtu ana dhambi zake kulingana na hitaji la moyo wake! Tushasema sana uongo,tushatukana sana,tusha zini sana,tusha sengenya mnoo ajabu Leo mwaona dhambi yangu ni kubwa mnooWatu wa dini na wahafidhina wanapingana na hayo mambo...jamii unayoishi ni watu wa dini/wahafidhina? Unajali jinsi jamii inayokuzunguka inavyokuona?
Kama majibu ni hapana basi nenda
Itabidi nikaongeze nyingine ya July 05 kukulipa deni la kutokusema... HBD.Bby si tulikubaliana nitakuchora nikimaliza kuchora watoto? Wewe nichore mimi nachora watoto wetu kwanza..
Shemeji rangi yangu ni ya mtume babaa! Ntakuonyesha nikifanikiwaMjini location zipo nyingi saana.... Raha ya tattoo uwe na Ngozi angavu kama imefubaa ni shida.
nenda kipawa pale parish pale pale beneath kuna saloon wanaita Soul tattoo salon.
Kuna tena hawa jamaa wanaitwa Pollo tattoo wapo bamaga.. ni maarufu saana.
karbu tabata nikuchore mrembo ukitaka kifuani fresh tu hata ile ya tako kama gigy money malipo tutaelewanaNajua ni haramu lakini nahisi nataka hicho kitu,nataka kuweka alama ya ukumbusho wa jina la mtu muhimu sana kwangu!! Hivyo nimevutiwa kwenda kuchora sehemu ya mwili wangu (mkononi) kama ishara yeye kuishi daima mwilini mwangu.
Wazoefu naomba mnipe location ya fundi mzuri wa Tatoo na approximation ya gharama zake.
Sent using Jamii Forums mobile app