Nataka kuwashtaki waislam!!

ukiwashitaki ukashinda kesi wataona wameonewa kwa kuwa wao ni waislamu na wanahisi hawapendwi na serikali. Ikiwezekana hicho kibanda muuzie shehe uhamie sehemu nyingine kuepusha shari. Hawa ndugu zetu inabidi tuishi nao kwa akili sana mpaka pale watakapoelimika. Waislam walioelimika hawana shida - they are understanding. SHida ni wale ambao "elimu dunia" imekaa kushoto - na hawa ndo wengi katika uongozi wao na wana sauti kubwa mno

....... elimu dunia hatuna shida nayo ! ........ imejaa uongo, si wanasema Dunia imeumbwa miaka milioni 13 iliopita, na Dunia ilitokana na msuguwano ! huo uongo sie hatuna haja nao !:A S 39:
 
Wote mnaolalamika, tafuteni law of nuisance muitumie kama ipo Tanzania. Ama sivyo watumeni wabunge wenu watunge sheria ya namna hiyo. Marekani kuna sheria ya namna hiyo, unaweza kumshitaki jirani yangu kwa lolote atakalofanya kwake kama linakueleta maudhi nyumbani kwako. Sheria hii inasaidia sana kuimarisha ujirani mwema.
 
Hata mie naomba mnisaidie kuna kanisa linanisumbua sana,

mkuu kama kuna usumbufu wala usiende mahakamani,nenda kwa Dc,katibu kata au diwani mueleze kuwa kanisa flani wana vipaza sauti vya nje wanasumbua. Kwa nguvu alizopewa Dc,diwani au katibu kata atawapa ujumbe wa kubadili uelekeo au kusitisha kabisa. Pia hata kwa misikiti. Mfano magomen mida ya jioni ilikuwa kama sehemu ya misikiti kutest vipaza sauti ikiwa pamoja na kufunga barabara za mitaa ili kuleta mijadala isiyo na tija. Nakuhakikishia,nenda hata leo uone kama utasikia upuuzi wa mwaka 2009,kwishnei. Sheria ni msumeno bwn! Tena msumemo mwembamba kama wembe!
 
Waislamu kama moto wa petrol! issue ndogo wataichukulia kuuubwa! huwa hawana subira! na si unajua awamu hii ni ya nani? watakufanyia fitina mpake ukimbie nyumba yako! achana nao, ukizoea kelele mwishowe utaona za kawaida!
 
hapa pana hitaji kuwa na hekima ya juu sana.
Ukweli ni kuwa hapa kuna matatizo katika nchi yetu kwa nyumba nyingi za ibada na misikiti kujengwa kwenye makazi ya wananchi.
Lakini mtu ukiamua kulivalia njuga utaamusha hasira kwa watu na watadhania kuwa unania ya udini wakati unachoongea ni ukweli ulio wazi kabisa.
 
Weye unakerwa na sauti za adhana msikitini wakati weye uko kwenu? Lkn maaskofu wanavyo kua ******* weye hukereki. Usilete zako zipi hapa tumeshawajua nyie munapalilia usenge duniani. Wacha nije nilete posa.
 
Weye unakerwa na sauti za adhana msikitini wakati weye uko kwenu? Lkn maaskofu wanavyo kua ******* weye hukereki. Usilete zako zipi hapa tumeshawajua nyie munapalilia ***** duniani. Wacha nije nilete posa.

I this really necessary???.. mkuu ustaarabu hauuzwi please kuwa muungwana ufute post yako
 
ndio maana mtu inabidi uangalie na kuulizia eneo unalotaka kujenga lina mambo gani yanayokera watu au kusababisha matatizo ya mtu kutoishi vizuri

usijifanye kuwa hukujua msikiti hawa tumii hilo asubuhi saa 11, mie nimekulia mikocheni maeneo tangu miaka ya 80 kati ya nyerere na rosegarden na tulizoea hayo kama kawaida na hakuna msikiti karibu

acha kuwa anti waisilamu, mie na ukiristo nakuona wewe una tabu na dini hiyi

wakiristo kutwa mnashinda kupiga kelele pia
 
Wote mnaolalamika, tafuteni law of nuisance muitumie kama ipo Tanzania. Ama sivyo watumeni wabunge wenu watunge sheria ya namna hiyo. Marekani kuna sheria ya namna hiyo, unaweza kumshitaki jirani yangu kwa lolote atakalofanya kwake kama linakueleta maudhi nyumbani kwako. Sheria hii inasaidia sana kuimarisha ujirani mwema.

hii sheria kwetu ipo, ila iko kwenye by laws za serikali za mitaa kuwa mtu harusiwa kupiga kll ya aina yoyote bila kibali.
 
ndio maana mtu inabidi uangalie na kuulizia eneo unalotaka kujenga lina mambo gani yanayokera watu au kusababisha matatizo ya mtu kutoishi vizuri

usijifanye kuwa hukujua msikiti hawa tumii hilo asubuhi saa 11, mie nimekulia mikocheni maeneo tangu miaka ya 80 kati ya nyerere na rosegarden na tulizoea hayo kama kawaida na hakuna msikiti karibu

acha kuwa anti waisilamu, mie na ukiristo nakuona wewe una tabu na dini hiyi

wakiristo kutwa mnashinda kupiga kelele pia

kunyosheana vidole kati ya dini mbalimbali kutaendelea kuwepo bcos of poor town planning, inashangaza kuwa mtu/watu wanaweza kununua nyumba previously ment for resindence na kuibadili kuwa nyumba ya ibada bila kuomba ridhaa ya wananchi.
 
Hivi kwanini ibada ya mtu iwe adha kwa mwengine? Serikali inahitaji kufanya kitu hapo, na kama haifanyi, wananchi wachache watakapochukua hatua huenda tukapata afueni kidogo.
Kuna sheria ya mazingira ingawa sifahamu details zake vizuri labda wataalamu katika JF humu watatujuza, lakini bado nina mashaka kama itasaidia hata kama ikiwepo sheria ya kudhiditi uchafuzi huu wa mazingira uliozoeleka kama wa kawaida kwani kuna sheria nyingine ya mazingira iliyopigiwa upatu sana miaka kadhaa iliyopita ya kuzuia watu kuvuta sigara hadharani lakini kwa serikali yetu hii sijamsikia hata mtu mmoja aliyewahi kufikishwa mahakamani kwa kosa la uvutaji sigara hadharani ingawa kila siku tunakutana nao wakivuta njiani, kwenye mabaa, kwenye mikusanyiko na hata kwenye mabasi!
Wala tatizo hili si kwa misikiti au waislamu pekee bali ni dini mbili yaani waislamu na wakristu haswa walokole ambao wana tabia ya kuweka maspika yenye frequency kubwa hata kama wahudhuriajiwa mahubiri yao hawazidi hamsini! Yafaa kuelewa hapa imani yako isiwe kero kwa wengine na kwamba unapofanya hivyo huwatendei haki wagonjwa, wanafunzi na wengine ambao muda wako wa ibada ndiyo wa kwao wa kupumzika. Tatizo la serikali yetu ni maneno meengi utkelezaji zero.
 
....... elimu dunia hatuna shida nayo ! ........ imejaa uongo, si wanasema Dunia imeumbwa miaka milioni 13 iliopita, na Dunia ilitokana na msuguwano ! huo uongo sie hatuna haja nao !:A S 39:

kweli kabisa hamna haja nao ila muna haja na elimu iliyoondikwa katika kile kitabu ambacho mtu akiwaeleza ukweli wake kama alivyofanya Salman Rushdi kuwa ni " satanic verses" waislam wote munamuhukumu kifo lakini waliomuhukumu kifo wanakufa kabla yake. Endeleen kutoithamin elimu dunia kwani satanic verses zinatosha kwa kila jambo.
 
I this really necessary???.. mkuu ustaarabu hauuzwi please kuwa muungwana ufute post yako

nadhani ungemwacha tu aseme ukweli, nadhani alitaka kusema kiwa maaskofu wanakuwa mashoga na kwamba ataleta posa, that is fine. Nijuavyo mimi wanashangaa kuwa kitabu chetu (biblia takatifu) hakiruhusu uchafu huu isipokuwa katika vitabu vyao aya ilishuka wakati waislam walipokuwa vitani na kuwakumbuka wake zao kisha wakamuuliza mtume kuwa "sasa tufanyeje" ndipo aya ikashuka kuwa wanaweza kutumia moja ya matundu yao- wao hawahitaji kutoa posa, wanajisevia, ni ruksa.
 
nadhani ungemwacha tu aseme ukweli, nadhani alitaka kusema kiwa maaskofu wanakuwa mashoga na kwamba ataleta posa, that is fine. Nijuavyo mimi wanashangaa kuwa kitabu chetu (biblia takatifu) hakiruhusu uchafu huu isipokuwa katika vitabu vyao aya ilishuka wakati waislam walipokuwa vitani na kuwakumbuka wake zao kisha wakamuuliza mtume kuwa "sasa tufanyeje" ndipo aya ikashuka kuwa wanaweza kutumia moja ya matundu yao- wao hawahitaji kutoa posa, wanajisevia, ni ruksa.

Wewe unatafuta laana toka kwa allah, kwa sababu unazusha uongo, hakuna aya hiyo kwenye QUR'AN tukufu.
sisi waislam tunaheshimu na kuamini vitabu vyote viilivyoshushwa kwa mitume wote(zaburi, torati, injili, na qur'an). Ndio maana hatutukani maandiko ya mwenyezimungu. Kwani yesu kwetu sisi ni mtume wa allah na wala sivinginevyo.
Tahadhari: Binadamu wote tumeumbwa na mungu mmoja(allah) au vyovyote unavyomuita wewe hivyo kumtukana muumba wa ulimwengu ukidhani kwamba unautukana uislam, ujue umemtukana mwenyezimungu aliye kuumba.
 
Wewe unatafuta laana toka kwa allah, kwa sababu unazusha uongo, hakuna aya hiyo kwenye QUR'AN tukufu.
sisi waislam tunaheshimu na kuamini vitabu vyote viilivyoshushwa kwa mitume wote(zaburi, torati, injili, na qur'an). Ndio maana hatutukani maandiko ya mwenyezimungu. Kwani yesu kwetu sisi ni mtume wa allah na wala sivinginevyo.
Tahadhari: Binadamu wote tumeumbwa na mungu mmoja(allah) au vyovyote unavyomuita wewe hivyo kumtukana muumba wa ulimwengu ukidhani kwamba unautukana uislam, ujue umemtukana mwenyezimungu aliye kuumba.

ala kumbe binadamu wote waliumbwa na Mungu mmoja?!, sasa mbona uislam hauthamin binadamu wengine ?!, mbona ukatili umezidi dhidi ya binadamu wengine walioumbwa na Mungu, mbona uislam unahukumu ovyo binadamu wengine walioumbwa na Mungu?!. Kunatatizo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom