MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,092
.................... Vp kuhusu huyu GAMANYWA, una USHAURI ? maana yeye anaanza SEBENE saa nne mpaka majogoo ! wenyewe wanaita mkesha ! Tabu inazidi pale wanapoanza kutoana MAPEPO ...........(toka ! sitoki....! toka....! sitoki ! kwa jina la bwana toka ! sitoki !!! ...... then wananena kwa lugha ........ hawezi kuiandika !) utafikiri kuna MABEBERU yanachinjwa ! tafrani moja kwa moja ! daaah ! :frusty:
Na wewe umesha tolewa mapepo mangapi?
Sasa rudi kwenye mada, kwanini mnasumbuwa watu alfajir? Hivi hamwezi kujiamsha wenyewe mpaka kulazimishana tuuuu, tena kwa matarumbeta? Swaallaaaaaaaa? Yakh, Hivi huyo alla wenu mbona ni shari kila kona?