Nataka kuwa mwana usalama wa Taifa

Nataka kuwa mwana usalama wa Taifa

Huna sifa, ungekuwa na sifa ungeshaitwa siku nyingi. Huombi bali wanakuteua wao. Wapo kila kona kusaka vipaji. Baadhi ni walimu shule za msingi,sekondari hadi vyuo vyote unavyovifahamu. Ila kuwatambua ndo kazi. Hata ujifanye unatabia nzuri, bongo kali,hupati nafasi hii hadi ukidhi vigezo wanatumia. Wengine ushakunywa nao na ni walevi wa kutosha, vichaa n.k. kwa ujumla no wataalamu hata kupanga ujambazi. Ukirogwa ujiunge umekwisha.
Kigezo cha jamaa kutoitwa huko haina maana kuwa yeye hana sifa, kwanza kuna mapungufu kadhaa kwenye enrollment yao.
Na kuepuka upendeleo undugu undugu nk nchi nyingi zilizoendelea siku hizi wanatoa matangazo ya ajira za usalama wa taifa, hivyo wote wenye uwezo unaotakiwa wanaapply kwa uwazi zaidi na wanapitia vetting na process nyingine.
 
Toka nikiwa mdogo nilikuwa mkakamavu sana ,na nilitaka nifanye kazi ya ukakamavu na ya kujitoa.

Lakini pia watu hawa huwa wananifurahisha kwanza utunzajibwao wa siri na kujitoa kwa ajili ya watu wachache ,napenda sana kujitoa kwa ajili ya wanzangu ilo ili wawe salama.
Hongera kwa ukakamavu ni jambo jema pia unawezafanya kujitolea kwa shughuli mbalimbali kwa maana unaipenda tz nchi yetu.hongera kwa hill na kuziweka hisia zako wazi .
 
Natafuta vijana Kama nyiny tuunde kitengo binafsi kwaajili ya ushushushu, hii inakuwa n NGO kwa ajili ya usalama wa watu binafsi..!

Mkuu ufanye kama kufungua kampuni..isiwe NGO...
Pia uwe na wafadhili na uwe na pesa, hio kampuni iwe urusi au huko pakistani... uwe na team unai train vizuri.. utapiga pesa mno..ukizama ifungue kama hizi security companies za kawaida then tafuta wateja wako ambao ni VVIP wafanyie kazi vizuri. Utakuwa njema.
 
Mfate baba ako chatu hukoo Geita sijui, mwambie umbea wote wa JF unapata ushushushu kama wenzio wanao kesha Jf kuwinda binadam wenzao.
 
Mfate baba ako chatu hukoo Geita sijui, mwambie umbea wote wa JF unapata ushushushu kama wenzio wanao kesha Jf kuwinda binadam wenzao.
Ha ha haaaaa umenifurahisha sana mkuu. Nitamfata Shinyanga asee
 
Ww umeathirika na mambo ya kwenye movies na series... sisi huku majukumu yetu tofauti kabisaa
"sisi huku majukumu yetu tofauti kabisa"-Remote.
"HUKU"ni wapi mkuu!'ndani ya Idara au Nchini(Tanzania)?.
 
Kigezo cha jamaa kutoitwa huko haina maana kuwa yeye hana sifa, kwanza kuna mapungufu kadhaa kwenye enrollment yao.
Na kuepuka upendeleo undugu undugu nk nchi nyingi zilizoendelea siku hizi wanatoa matangazo ya ajira za usalama wa taifa, hivyo wote wenye uwezo unaotakiwa wanaapply kwa uwazi zaidi na wanapitia vetting na process nyingine.
Asante kiongozi.
 
Back
Top Bottom