Nataka kuwa mwana usalama wa Taifa

Nataka kuwa mwana usalama wa Taifa

Hata kureport matukio ya uharifu mtaani kwako kwenye vyombo vya dola....pia inakufanya uwe mwana usalama.....
 
Kua usalama wa taifa wa kujitegemea kama mimi kama kweli wewe ni mzalendo! Kwasababu dhana ya usalama ni kuchambua taarifa nzuri au mbaya na kuziripoti,na sehemu ya kuripoti inafahamika (vituo vyote vya usalama na ulinzi na wizara zake)....

Kwahiyo kama unapenda kua usalama wa taifa,anza leo leo..ukiona watu wanawinda tembo,toa taarifa kwa mkuu wa mkoa,wilaya,rpc,nk.

Ukiona mtu anaingia nchini bila utaratibu toa taarifa.

Ukiona mtu anaingiza sukari bila kulipa kodi toa taarifa.

Ukiona mtu anapanda kupindua serikali toa taarifa haraka sana

Ukiona kiongozi wa serkali anaenda nje bila ruksa ya rais toa taarifa haraka sana.

Huo ndo zalendo na huo ndo usalama wa taifa.

Kumbuka kwenye usalama tunasema usimwamini mtu yeyote yule hata mama yako mzazi na baba yako usiwaamini kamwe.
 
Izo kazi zina wenyew ww kapuku kama hawawezi kutuchukua wakikutaka wana anza kukufuatilia A-Z sas we subili kila siku maeneo ya posta watakuja kukuchukua sawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi hizo sikuwahi kuzipenda uoga hasa nikiona sinema za 007 James bond zile daah,zamani zile jkt miaka ile waliomba watu tuende cadet, wengine walienda,among them wapo ambao ni Tiss sasa,chanel nyingi uanze kuingia via majeshi kawaida wanapotangaza then utaomba humohumo,watakuwa wamejiridhisha
 
Kwakua umesema shida yako sio ajira bali ni uzalendo na ajira tayari unayo basi nakushauli we endelea kuisaidia polisi kwa kuripoti matukio ya uhalifu na wavunjaji wa sheria...hapo utakua umefanya kazi ya usalama wa taifa tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaani naipenda Sana kazi hiii Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi kwa sasa Nipo nasoma shahada ya kwanza naingia mwaka wa tatu dar es salaam. Ehhhh mungu mnisaidie nipate Kali na umtetetee atakaenitetea Amina
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Unapenda kuwa usalama!
1.Upo tayari kutengeneza kesi ili ufungwe gerezani kifungo kisichopungua miezi 6 katika kufanikisha ukusanyaji wa taarifa mbali mbali zinazohitajika?
2.Upo tayari hata ku fake death(kuigiza kifo) na kuachana na ndugu, jamaa, familia na marafiki zako wote katika maisha yako yote?
3. Upo tayari kumtesa au hata kuua mtu wa familia yako endapo kuna ulazima wa kufanya hivyo?
4. Unao ujasiri waku execute au kujua execution na kutunza siri hadi unaingia kaburini?
5. Upo tayari kufa kwa namna yoyote ile...iwe kwakujipiga risasi, kupambana na adui au kuteswa ukilazimishwa kutoa taarifa fulani na usiitoe hadi kufa kwa mateso?
6. Unawezakuigiza ukichaa kwa miezi mitatu? Ule na kulala jalalani, sokoni au stand? Uvae ovyo na uache kuoga miezi kadhaa?
7. Unawezaku kulala na mtu hatari, tena asiye mpenzi wako ili kutimiza adhma yako ya kupata taarifa? Mfano Drug dealer, gaidi, kahaba etc?
8.
9.
.
18. Upo tayari kula kiapo cha moto?
Jiulize na ujijibu kwanza hayo machache toka moyoni, kisha utapata picha halisi ya nini unachokitaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapenda kuwa usalama!
1.Upo tayari kutengeneza kesi ili ufungwe gerezani kifungo kisichopungua miezi 6 katika kufanikisha ukusanyaji wa taarifa mbali mbali zinazohitajika?
2.Upo tayari hata ku fake death(kuigiza kifo) na kuachana na ndugu, jamaa, familia na marafiki zako wote katika maisha yako yote?
3. Upo tayari kumtesa au hata kuua mtu wa familia yako endapo kuna ulazima wa kufanya hivyo?
4. Unao ujasiri waku execute au kujua execution na kutunza siri hadi unaingia kaburini?
5. Upo tayari kufa kwa namna yoyote ile...iwe kwakujipiga risasi, kupambana na adui au kuteswa ukilazimishwa kutoa taarifa fulani na usiitoe hadi kufa kwa mateso?
6. Unawezakuigiza ukichaa kwa miezi mitatu? Ule na kulala jalalani, sokoni au stand? Uvae ovyo na uache kuoga miezi kadhaa?
7. Unawezaku kulala na mtu hatari, tena asiye mpenzi wako ili kutimiza adhma yako ya kupata taarifa? Mfano Drug dealer, gaidi, kahaba etc?
8.
9.
.
18. Upo tayari kula kiapo cha moto?
Jiulize na ujijibu kwanza hayo machache toka moyoni, kisha utapata picha halisi ya nini unachokitaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo tayari
 
Unapenda kuwa usalama!
1.Upo tayari kutengeneza kesi ili ufungwe gerezani kifungo kisichopungua miezi 6 katika kufanikisha ukusanyaji wa taarifa mbali mbali zinazohitajika?
2.Upo tayari hata ku fake death(kuigiza kifo) na kuachana na ndugu, jamaa, familia na marafiki zako wote katika maisha yako yote?
3. Upo tayari kumtesa au hata kuua mtu wa familia yako endapo kuna ulazima wa kufanya hivyo?
4. Unao ujasiri waku execute au kujua execution na kutunza siri hadi unaingia kaburini?
5. Upo tayari kufa kwa namna yoyote ile...iwe kwakujipiga risasi, kupambana na adui au kuteswa ukilazimishwa kutoa taarifa fulani na usiitoe hadi kufa kwa mateso?
6. Unawezakuigiza ukichaa kwa miezi mitatu? Ule na kulala jalalani, sokoni au stand? Uvae ovyo na uache kuoga miezi kadhaa?
7. Unawezaku kulala na mtu hatari, tena asiye mpenzi wako ili kutimiza adhma yako ya kupata taarifa? Mfano Drug dealer, gaidi, kahaba etc?
8.
9.
.
18. Upo tayari kula kiapo cha moto?
Jiulize na ujijibu kwanza hayo machache toka moyoni, kisha utapata picha halisi ya nini unachokitaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo tayari
 
Hivi mkuu kiwango chako cha kuhifadhi siri kikoje? Nikiwa namaanisha kwamba mtu akupe safari nane upige zote na USIROPOKE CHOCHOTE. Na kama huna vumilia tu na uendelee kumwomba mungu ili UINGIE KWENYE 18 za na hapo kuna mawili, mosi kama mtuhumiwa wa tukio fulani lakini pili kama mwajiriwa.
Inasemekana ukiwa na siri nyingi moyoni bila kuzitapika , Kuna uwezekano wa saikolojia kuathirika . Kuna ukweli wowote ktk hili ?
 
Hii kazi haitafutwi inakutafuta yenyewe..meanwhile jishughulishe kulijenga taifa mpaka itakapo kufikia if...
 
Back
Top Bottom