realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,985
Unapenda umbea umbea?
Sawanipm nikupe prosedures,samahani sikupi ajira bali kukutengenezea mazingira tu
Ungefahamu "usalama wa taifa" ni jukumu lako usingeomba ulichoandika.Hata wewe ni usalama wa taifa kwa kua ni mtaifa ninachoona ni TAMAAHabarini wakuu.
Mimi ni memba mpya(kwenye kuanzisha uzi) ila ni memba wa muda kama shabiki wa JF.
Huu ni uzi wangu wa kwanza kuuanzisha(mnisamehe kama kuna mahali nitakosea)
Turudi kwenye maada..
Siku nyingi(kabla sijawa memba wa jf) nimekuwa nikifuatilia sana masuala mazima ya kiusalama kupitia movie na magazeti,na baada ya kupakua app ya JF nilikutana na maada mbal mbal zinazohusu maswala mazima ama story zinazohusu usalama.
Baada ya kuendelea kufuatilia na kusoma kila nnachokutana nacho na kinahusu usalama,niliweza kufunguka kiakili na kimawazo kuhusu swala zima la usalama.
Miongon mwa vitu vilivyonifungua akili ni pamoja ya namna hawa watu(mashushushu) wanavyopatikana,ikiwa ni pamoja na mashulen na kupitia vyombo mbal mbal vya usalama kama JKT n.k
Baada ya kuwa nimefunguka kiakili kuhusu jambo hili ,nilikata tamaa na kuona siwez tena kuwa shushushu kwa sababu sipo shule,na siwez tena kwenda JKT kwa maana umri umeshaenda(nna miaka 27 na elimu yangu ni kidato cha 4).
Lakini nilijipa moyo na sikujidekeza kwa kuendelea kukata tamaa,na badala yake niliendela kufuatilia maada mbali mbali na historia mbali mbali za kijasusi kupitia hapa hapa JF kama maada za mkuu The bold na za watu wengine wengi.
Sasa bas leo nimeamua kuvunja ukimya na kuamua kuja kwenu wana jamvi na kuwaomba msaada wa kimawazo na ushauri wa nn nifanye ama nn nifuate ili niweze kuwa miongoni mwa hawa watu wa usalama(TISS) ama kama kuna kikosi kingine cha kiusalama. Nikimaanisha nitaingia vipi ndani ya 18 ya hawa jamaa ili wanichukue na mm?
Nafahamu kuwa ni ishu ya siri na ni ishu ambayo sio ya kuweka hadharan,kama kuna mambo ya hadharan mtanipatia,na kama kuna ushauri wa sir bas hata PM nitaupokea pia.
Mm ni mzarendo na ninafaham hii kazi inahitaji moyo na unahitaji uzarendo pia,katika hili hakuna shida.
Naipenda nchi yangu TANZANIA na nipo tayal kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwa nguvu zangu zote.
Nawasilisha hoja,naombeni msaada wenu.
Na naomba radhi sehemu yeyote nitakayokuwa nimekosea.
Siikumbuki.maana nlijiunga mwaka 2015,kisha nkapotea humu ndani.baadae mwaka jana nkarudi tena,but nkawa nimesahau pasword naa username. Ndo nkafungua tena hii. Jana ndio nkaanzisha uzi wa kwanza toka niijue JFNjoo na ID yako ya zamani,,,ili nkushaur vzur
Asante kamanda kwa kunitia moyoDaaah nothing to say but endelea kupambana coz dreams an ambition
Tamaa ya nini sasa mkuu?? Kama ni ajira tayali ninayoUngefahamu "usalama wa taifa" ni jukumu lako usingeomba ulichoandika.Hata wewe ni usalama wa taifa kwa kua ni mtaifa ninachoona ni TAMAA
Nitawatafuta mkuu.Mtafute Yericko Nyerere na Jason Bourne wakupe ABC za Ujasusi.
Kwanini unapenda kujiunga na TISS? Kuna Role Model uliyemuona ukatamani na wewe uwe?
Kwa Maelezo yako umesema una kazi,kwanini uipendi hiyo kazi uliyonayo inayokupa mkate?
Kwahiyo wewe hauwezi kuwa polisi jamii au whistle blower?
Ungependa kufanya kazi katika kitengo gani,maana kama ni mfuatiliaji kama ulivyodai ,sina shaka kuwa unajua kuna vitengo.
Ha ha ha ha haàaAna makusudio ya Siri. Au kupindua au kuwa jambazi au fisadi anataka ajifichie usalama wa Taifa.
Asante kwa ushauriNia unayo lkn hawajama hawavhukia MTU bila kumfanyia uvhunguzi wa khaki ya juu maana issue yenyewe iko very sensitive watu wengi wanapenda lkn wanashindwa so tafuta kitu kingine
Kipi kimekuvutia kwenye hii kazi?!Hakuna kazi niliyoitamani kama hiyo ila basi tu
Toka nikiwa mdogo nilikuwa mkakamavu sana ,na nilitaka nifanye kazi ya ukakamavu na ya kujitoa.Kipi kimekuvutia kwenye hii kazi?!