Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,477
- 11,256
Kila sehem ni mapambano. Dunia uwanja wa vita! Uzuri wa Zanzibar uchumi wake ni hybrid yani sio wa kitanzania Moja kwa Moja. Huyu akirudi dsm anaenda kupambana na uchumi wa mtanzania halisi... Kabla ya yote kwanza atafute mgangaIla ku supply nako changamoto saivi.....suppliers washakuwa wengi