ok, nitajitahidi around that time nipatikane
...Mwaaaaaaaaaa.
matatizo ya kutumia simu....
Nimeilike....Jamani Smiling Saint....huwezi ukanipa japo nafasi ya upendeleo dear?? Kipipi won't let you stop smiling......this I promise you!!!
Nimeilike....
Santeee! Unaonaje nikipewa hiyo like maalum?
Kuna watu wanakupa "like" ikishapita siku mbili tatu mbele anaanza ku "unlike" hasa kwa watu dhaifu kama sisi tusio na majina makubwa.
Sioni maana yoyote kutoa "like" kwa mtu bahada ya muda unaanza ku "unlike" kimya kimya ni ulimbukeni au!?
Hii like ninamuombea Husninyo, kama huna wivu....
.....kwa sababu kule kwa taarifa ya kujifungua Flora amepost kitu nzuri sana honey tutatengeneza lini wa kwetu? (akimuuliza Judgement).
Mwaaaaaaaaaa.
hahahahaha! Mama umetisha, hadi machum humu humu. Naenda kusema kwa baba.
Yah ni haki yako...ngoja dogo aje akupatie
hata zamani hivi vitu vilikuwepo mwanangu,
ila tulikuwa tunapiga kwenye shavu au shingoni,
siyo nyie mnafanya kweli kweli.