Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Hi wana JF!
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.