Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Umejaribu imekataa KUPITA?? isijekuwa mlianza zamani ndio unataka tukuhalalishie??? mahusiano yoyote hayatokani na ushauri wa watu ni maamuzi yenu wenyewe:smile-big:Hi wana JF!
Nimetokea kupendwa kupita kiasi na demu wa zaman wa mshikaji wangu wa karibu sana. Huyu demu ananiambia toka siku aliponiona (yeye akiwa na mshikaji wangu) alitokea kunipenda sana na kwa sasa wameachana na demu kaja kwangu completly na hv tayari nime mu engage! Je nimuoe? Mshikaji atajisikiaje?? Msaada tutani.