Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Wanawake ni watu wa ajabu saana, yani mimi tunaejuana tumezaliwa wote kijiji kimoja cha mpwayungu kila siku namhonga natongoza huu mwaka wa pili lakini hajanipa tunda ila ajabu Sasa ipo hv
Kuna mgeni wangu kaja Jana kutoka Songea Sasa huyu demu huwa anakuja kuchota kwetu Maji kwahiyo jamaa likamuona likasema linamtaka nikamwambia demu ana msimamo balaaa ila jamaa hakuelewa nikaona sio mbaya nikampa namba yake
Jamaa kapiga simu moja Kwa moja akajieleza demu akasema nilikuona ndio Kwa kinampwayungu nilipokuwa nachota Maji jamaa akasema ndio ndo mimi, sasa sijui baadae waliongea nini ila usiku nagonga mlango kwenye chumba cha mgeni jamaa akasema nipo na yule demu
Niliona uongo mpaka nilipomuona asubuhi demu niliyetongoza miaka miwili anatoka kwenye chumba cha mgeni wangu, kitanda changu, mashuka yangu, nyumba yangu halafu mbaya zaidi anatoka chumbani bila kunisalimia... Wanawake ni watu makatili saaana loooooh!!!!!!
Kuna mgeni wangu kaja Jana kutoka Songea Sasa huyu demu huwa anakuja kuchota kwetu Maji kwahiyo jamaa likamuona likasema linamtaka nikamwambia demu ana msimamo balaaa ila jamaa hakuelewa nikaona sio mbaya nikampa namba yake
Jamaa kapiga simu moja Kwa moja akajieleza demu akasema nilikuona ndio Kwa kinampwayungu nilipokuwa nachota Maji jamaa akasema ndio ndo mimi, sasa sijui baadae waliongea nini ila usiku nagonga mlango kwenye chumba cha mgeni jamaa akasema nipo na yule demu
Niliona uongo mpaka nilipomuona asubuhi demu niliyetongoza miaka miwili anatoka kwenye chumba cha mgeni wangu, kitanda changu, mashuka yangu, nyumba yangu halafu mbaya zaidi anatoka chumbani bila kunisalimia... Wanawake ni watu makatili saaana loooooh!!!!!!