Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,312
Nitamuweza Mkuu we nipe kuliko umuue ninao wawili huyo atakiwa wa tatuUtamuweza huyu
Nitamuweza Mkuu we nipe kuliko umuue ninao wawili huyo atakiwa wa tatuUtamuweza huyu
Oh; Unaona aisee, anasikitika kwa kusudio lako ovu. Mbwa wanaouwezo wa kuhisi jambo baya na kwa Taarifa yako mbwa wanaweza kujua au kuona mambo kabla hayajatukia. Mimi mbwa wangu walikuwa wanajua/wanatoa ishara ya tukio baya e.g tetemeko la ardhi kwa kutoa mlio usio wa kawaida na kweli baada ya muda kunatokea tetemeko. Mbwa wanauwezo wa kuwaona wanga au kumgundua mtu mwenye nia mbaya anapokuja nyumbani kwako. Sasa nimchukue/utanipa?(nataka kumnusuru maisha yake.) acha aje ajifie mwenyewe hapa kwangu.
Sawa!!comradeDhambi kuuwa, kama humtaki mgawe!
Hamna kamanda maisha nilio kulia ya kawaida tuUnaonekana ulikulia maisha ya Utoto ambayo ulikia unamkata Mjusi, unaanza kumtoa mguu mmoja baada ya mwingine
Kisha unamkata mkia,kisha unampasua tumbo,kisha unamkata kichwa huki UKICHEEEEEEEEKAAAA.
Ninja yupi? Kangi auKampe ninja,kuna wa kwake alienda training anaweza kumbadili na huyo pia
Maana zaidi ya wa3 wote mnamtaka wewe upo dar?Oh; Unaona aisee, anasikitika kwa kusudio lako ovu. Mbwa wanaouwezo wa kuhisi jambo baya na kwa Taarifa yako mbwa wanaweza kujua au kuona mambo kabla hayajatukia. Mimi mbwa wangu walikuwa wanajua/wanatoa ishara ya tukio baya e.g tetemeko la ardhi kwa kutoa mlio usio wa kawaida na kweli baada ya muda kunatokea tetemeko. Mbwa wanauwezo wa kuwaona wanga au kumgundua mtu mwenye nia mbaya anapokuja nyumbani kwako. Sasa nimchukue/utanipa?(nataka kumnusuru maisha yake.) acha aje ajifie mwenyewe hapa kwangu.
Asante, Hii pia njia nzuri ngoja niangalie uwezekanoMpandishe kwenye gari kamuache 20km toka kwako atapata wasamaria ni mbaya kuuwa kiumbe kilichokupenda
Ni huyu hapa kumwogesha huwa namuogesha au dokta kama sipo dawa za magonjwa ana pata chanjo kila baada ya miez6 ile ya kichaa minyoo,Je, mbwa anayelengwa ndo huyu? Hivi kweli Dingimoto anamwogeshaga? Naomba Dingimoto atoe jibu kwa hoja ya uogeshaji, malazi na chakula bila kusahau dawa za kutoa minyoo na chanjo ya rabies. Halafu nitamwambia kitu.
Nimekupata kamandaHapana.
Usimuue Kiumbe huyo
SawaOk. Tumejua na wewe una mbwa
Umeandika kitu kikubwa mno werevu watakuelewa juu ya ukatili wa watoto wa kiafrika nitatoa sumulizi ya baba yangu akiwa uingereza kupitia Uzi huuUnaonekana ulikulia maisha ya Utoto ambayo ulikia unamkata Mjusi, unaanza kumtoa mguu mmoja baada ya mwingine
Kisha unamkata mkia,kisha unampasua tumbo,kisha unamkata kichwa huki UKICHEEEEEEEEKAAAA.
Umeandika kitu kikubwa mno werevu watakuelewa juu ya ukatili wa watoto wa kiafrika nitatoa sumulizi ya baba yangu akiwa uingereza kupitia Uzi huu



nmefurah kwakua Umenielewa maana yangu!!