Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,468
Vp kuuwa kuku ama ng'ombeNi dhambi kubwa kuuwa mnyama!
Walimfanyia figisu gani hao wezi?Anasumbua na kibaya zaidi amekuwa kama hana ukali wowote, tangu afanyiwe figisu na wezi
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Kama alifanyiwa figisu na wez, ebu jaribu kuangalia nahii.. zake zipo? na kama hazipo hicho ndio chanzo cha uzuzu alio nao.Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Hahahahahahah..........Mkuu wewe ni mganga wa kienyeji? huo mkia anakatwa kwa sababu gani?nitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue
ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
Ila Mkuu unavyochinjaga kuku huwa unakuja kuomba kibali huku? au ni swagaJamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Hahahahahahah..........Mkuu wewe ni mganga wa kienyeji? huo mkia anakatwa kwa sababu gani?
Mbona anafanana na yule askari tunayemtafta?Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Unauza banginitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue
ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
hapana siuzi na sitegemei kuuzaUnauza bangi
Je, mbwa anayelengwa ndo huyu? Hivi kweli Dingimoto anamwogeshaga? Naomba Dingimoto atoe jibu kwa hoja ya uogeshaji, malazi na chakula bila kusahau dawa za kutoa minyoo na chanjo ya rabies. Halafu nitamwambia kitu.
Mbona anafanana na yule askari tunayemtafta?
huyu apa huyo alikua mfano
Tatizo amekuwa sio kama, alivo kua zamani sio mkali tenaNi dhambi kubwa kuuwa mnyama!
Mtafute Mhehe yeyote hapo umpe huyo mbwa ye ndo atajua amfanye nini huyo mbwa...
Wa huku mjini waoga wamekuwa wahehe Wa mjiniKamanda huyo alikua ni mfano kwani kuwa na mbwa ni kitu cha kawaida tuNaona umemua kutuonyesha kuwa una miliki mbwa aina hiyo huna lolote...
Eti unaomba namna ya kumuua..watu bhana..