Nataka kumuua mbwa

Nataka kumuua mbwa

huyu.jpg
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470

nitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue


ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Kama alifanyiwa figisu na wez, ebu jaribu kuangalia nahii.. zake zipo? na kama hazipo hicho ndio chanzo cha uzuzu alio nao.
 
nitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue


ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
Hahahahahahah..........Mkuu wewe ni mganga wa kienyeji? huo mkia anakatwa kwa sababu gani?
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Ila Mkuu unavyochinjaga kuku huwa unakuja kuomba kibali huku? au ni swaga
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Mbona anafanana na yule askari tunayemtafta?
 
nitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue


ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
Unauza bangi
 
Naona umemua kutuonyesha kuwa una miliki mbwa aina hiyo huna lolote...
Eti unaomba namna ya kumuua..watu bhana..
Kamanda huyo alikua ni mfano kwani kuwa na mbwa ni kitu cha kawaida tu
 
Back
Top Bottom