Nataka kumuua mbwa

Nataka kumuua mbwa

Kuna njia moja rahisi sana na ndo nayoitumia kupunguza hii mifugo yangu ila inataka moyo kama una roho nyepesi tafuta njia mbadala. Tafuta gongo moja matata( la mti na sio kinywaji) afu subiri mbwa akilala mbamize moja la kichwa hapo atakufa fasta kwani mbwa ukimbamiza kichwani unakata network zote. Na hii ndo dawa ya wale mbwa koko au wenye vichaa.
Nawasilisha
 
Kuna njia moja rahisi sana na ndo nayoitumia kupunguza hii mifugo yangu ila inataka moyo kama una roho nyepesi tafuta njia mbadala. Tafuta gongo moja matata( la mti na sio kinywaji) afu subiri mbwa akilala mbamize moja la kichwa hapo atakufa fasta kwani mbwa ukimbamiza kichwani unakata network zote. Na hii ndo dawa ya wale mbwa koko au wenye vichaa.
Nawasilisha
Duuh Hii kwa mimi siwezi, nimeamua kumuacha tu
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
MKUU KABADILIKA AU BADO UNAZINGUA?
 
Inavyoonekana hata mkeo akipunguza mautundu utamuacha wewe 😕😕
 
nipe mimi
Gharama halisi ya kuua mbwa kwa daktari wa mifugo ni sh 50,000
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Usimuue mpeleke kwa sonata amchongee meno ya Silva yenye ncha kali kisha mpeleke kwa dakitari wake amuweke hayo meno.
 
Back
Top Bottom