dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
- Thread starter
- #81
Hmm!! Hii ina ukweli au ndio stori za kusadikikaMvutishe msuba nakuhakikishia hata wewe mwenyewe utamuogopa
Hmm!! Hii ina ukweli au ndio stori za kusadikikaMvutishe msuba nakuhakikishia hata wewe mwenyewe utamuogopa
Shule, zipi? Embu niambieMpeleke shule mkuu akapate mafunzo akirudi ujipange
Sawa!! Chief Hili la msingi nalifanyia kaziwaite modokta wa mifugo watamchoma sindano na atakufa
Mlete Masaki atapata mtu atakaye mtunza tena atakuwa ana ishi ndani wala sio nje!Tatizo amekuwa sio kama, alivo kua zamani sio mkali tena
Ipo shule hapo Bahari beach na nyingine kerege tumepeleka mmbwa wetu hapoShule, zipi? Embu niambie
Hapana jamani, huyo mbwa siyo mzee wala mgonjwa!Sawa!! Chief Hili la msingi nalifanyia kazi
Tatizo, mbwa ambaye si mkali Nan atamkubaliNaye ana only one life, kwa nini uchukie wewe hiyo laifu yake? Muuze tu.
Mpandishe kwenye gari kamuache 20km toka kwako atapata wasamaria ni mbaya kuuwa kiumbe kilichokupendaNitakae muuzia nita muuzia mzigo tu, mbwa ukali umepungua sio kawaida
Ana miaka minne naMkuu; huyo mbwa wako ni dume au ni jike? Ana umri gani? Kwani kosa lake nini? Hebu vuta taswira ya binadamu anavyokua (Grow) katika maisha au kuishi kwake. Kwa mfano, Je, Wale watu tulio waona au kusikia habari zao za Ukali/Ubabe eg. Mike Tyson, Mohamed Ally and the like walibaki (Static) kuwa hivyo-hivyo tuu au nao ilifikia mahali/muda nao wakapoa? Usimwue bali endelea kumtunza kwani ulishapata huduma yake(Ulinzi/Ukali) yaani ulishakula fadhili zake. Wewe Ukimwua kwa makusudi ni sawa na kukamilisha usemi kwamba "shukrani ya punda ni mateke". Hakika utakuwa hujamtendea haki na hivyo Roho yake itakulilia. Kubali-Usikubali lakini UKWELI ndo huo. Nakushauri mwuze au mpe mtu anayemuhitaji. Kama ni dume nipe mimi nifanyie kazi ya crossbreeding. Lakini weka picha yake halisi sio hiyo ya ku-download. Aisee acha ukatili kwa viumbe wa Mungu.
Nashukuru kuna captain kwa ushauri wakoSio vzur mkuu usiue kikatili kwa sumu.mgawe au nenda kwa watu wa wanyama wamuue kwa njia isiyo na maumivu.kumbuka alikuwa rafiki yako huyo before usifanye hvo aisee
Ni mwaka Wa nne ninae kamanda sijaanza hiv karibuni tatizo kuna wezi walimpa dawa mpaka sasa si mkali tenaUtakuwa umeanza kufuga hivi karibuni bila shaka'ukikaa na mbwa muda mrefu sana hatakaa uwaze kuwauwa wanakuwa sehemu ya familia.
jina analo anaitwa DISPYMpe jina la Jiwe then unamuua.
Hii ngumu mzee labda wachina ndio wanawezaMgeuze kitoweo. Ni mtamu sana
Yah!! Nipo dar kamandaMkuu, kwani upo Daslam.....
Maana nimejikuta nawaza mambo mob sana..... tehteehhh
Hamna alipata shida kuna wezi walimisha kitu kama si kumpulizia pia toka hapo ndipo shida ilipoanzaKalogwa na wachawi huyo
Utamuweza upo dar?Nipe mimi huyo mbwa
Ni huyu apa, huyo alikua mfanoKama ni huyo kwenye picha tufanye biashara..