Nataka kumuua mbwa

Nataka kumuua mbwa

Mbwa huwa anapigwa risasi 1 tuu ya kichwa, kwisha hzbari!
 
Tatizo amekuwa sio kama, alivo kua zamani sio mkali tena
Mlete Masaki atapata mtu atakaye mtunza tena atakuwa ana ishi ndani wala sio nje!
Mtafute mtu akusaidie kumgawa bure, lakini please usimuue jamani kiumbe mzuri sana huyo!
 
Weka picha halisi...

20180806_190255.jpg
20180806_190228.jpg
 
Mkuu; huyo mbwa wako ni dume au ni jike? Ana umri gani? Kwani kosa lake nini? Hebu vuta taswira ya binadamu anavyokua (Grow) katika maisha au kuishi kwake. Kwa mfano, Je, Wale watu tulio waona au kusikia habari zao za Ukali/Ubabe eg. Mike Tyson, Mohamed Ally and the like walibaki (Static) kuwa hivyo-hivyo tuu au nao ilifikia mahali/muda nao wakapoa? Usimwue bali endelea kumtunza kwani ulishapata huduma yake(Ulinzi/Ukali) yaani ulishakula fadhili zake. Wewe Ukimwua kwa makusudi ni sawa na kukamilisha usemi kwamba "shukrani ya punda ni mateke". Hakika utakuwa hujamtendea haki na hivyo Roho yake itakulilia. Kubali-Usikubali lakini UKWELI ndo huo. Nakushauri mwuze au mpe mtu anayemuhitaji. Kama ni dume nipe mimi nifanyie kazi ya crossbreeding. Lakini weka picha yake halisi sio hiyo ya ku-download. Aisee acha ukatili kwa viumbe wa Mungu.
Ana miaka minne na
Ni dume, chief tatizo NILIMHASI mwakajuzi
20180806_190255.jpg
20180806_190228.jpg
 
Sio vzur mkuu usiue kikatili kwa sumu.mgawe au nenda kwa watu wa wanyama wamuue kwa njia isiyo na maumivu.kumbuka alikuwa rafiki yako huyo before usifanye hvo aisee
Nashukuru kuna captain kwa ushauri wako
 
Dah....nenda naye Iringa...bora something kuliko nothing...
 
Utakuwa umeanza kufuga hivi karibuni bila shaka'ukikaa na mbwa muda mrefu sana hatakaa uwaze kuwauwa wanakuwa sehemu ya familia.
Ni mwaka Wa nne ninae kamanda sijaanza hiv karibuni tatizo kuna wezi walimpa dawa mpaka sasa si mkali tena
 
Back
Top Bottom