Alifanyiwa figisu na wezi!? Hii sip poa kabisaaa.Anasumbua na kibaya zaidi amekuwa kama hana ukali wowote, tangu afanyiwe figisu na wezi
Correct. Hatutakuwa tofauti na watu waliopanga na kujaribu kumuua Tundu LissuRoho mbaya unawezaje kufikiri kuua kiumbe kisicho hata na hatia ni makosa hata kuendelea kujadili mauaji...
Kaona isiwe tabu awe mpole tu, wezi wasije kumfanyia kitu mbaya!!!Anasumbua na kibaya zaidi amekuwa kama hana ukali wowote, tangu afanyiwe figisu na wezi
Sumu atateseka sana,,mchinjeHmm! Nimchinje tena
Hii ngumu mzee labda wachina ndio wanaweza
HATARI LAKINI SALAMA...DuuhHii si hatari sasa
Huyu hapaView attachment 828628
Mkuu, mbona mbwa wako ni mzuri tu hana hitilafu kimaumbile? Hoja ya kupunguza ukali sioni kama ina uzito kiasi cha ww kutaka kumtoa uhai wake. Mpe chakula chenye pilipili-mbuzi yaani uwe unamchanganyia kwenye chakula chake anachokula kila siku hususan supu ya mifupa au dagaa.Ni huyu hapa kumwogesha huwa namuogesha au dokta kama sipo dawa za magonjwa ana pata chanjo kila baada ya miez6 ile ya kichaa minyoo, View attachment 828865
Nipo Mkoani, lakini kwa kupunguza gharama ya usafirishaji, naridhia umpe yule muhitaji aliye jirani zaidi. Kama hakuna, tuwasiliane- nitamchukua.Maana zaidi ya wa3 wote mnamtaka wewe upo dar?
Nachokushauri ni kitu kimoja tu, usimtelekeze akaishi mitaani. Usimuue ikiwa humtaki, bora uwapatie hao wanaomuhitaji. Kuliko kuingia gharama za kumuua ni bora ufanye hivyo tu itakuwa afadhali.Ni huyu hapa kumwogesha huwa namuogesha au dokta kama sipo dawa za magonjwa ana pata chanjo kila baada ya miez6 ile ya kichaa minyoo, View attachment 828865
Anataka kuwauaCcm tena ameingiaje hapa
wengine mbwq kwetu ni marfiki sio walinzi so ukali sio issueNitakae muuzia nita muuzia mzigo tu, mbwa ukali umepungua sio kawaida
Amekuwa mtu mzima tu huyo mambo ya kijinga jinga ugomvi ugomvi usio na mpango hana habari nao !wewe tu hujaacha mambobya kipumbavu kupenda ugomvi na makelele kumbuka mwaka wako mmoja ni miaka 10 yake kwa hiyo kama ulikaa nae miaka 4 ujue mwezako ana 40 sasa unataka afanye swaga za kitoto mikelele na ugomvi usio na mpangoTatizo amekuwa sio kama, alivo kua zamani sio mkali tena