Nataka kumuua mbwa

Nataka kumuua mbwa

Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470[/QUOTE
Mie na deal na mbwa ikiwemo kurelocate mbwa wasio hitajika wakiwemo wazee na wagonjwa. Pia nitakupatia mbwa bora kwa mahitaji yako
 
Look how love the dog has to you.. Amekula sumu kwa ajili ya kukulinda wewe.. Now amepoteza uwezo wake unataka kumuua... Unaroho mbaya sana we jamaa
Hizo ndio tabia za maboss wetu wanakuthamini unapokuwa na uwezo wa kubwekea wengine
 
Dah, aisee uko wapi, namwomba huyo mbwa. Mbwa kwangu ni sawa na binadam. Nawapenda hadi huwa natamani nilale nao chumbani kwangu. Dont kill your dog. Mbwa ni mnyama aliye karibu sana na binadam. Mi wangu ni mwoga anabweka akiwa anakimbilia bandani mwake, ila ndo anaogopwa na majirani balaaa. Aliniudhi siku moja kala mayai 10, nlichofanya ni kumfungia bandani kila inapoitwa asubuhi. Maana vibaka hawapatani kabisa na mbwa
 
Back
Top Bottom