dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
- Thread starter
- #121
Hunitakii mema kabisa weweKamuuze magogoni
Hunitakii mema kabisa weweKamuuze magogoni
OK, sawa labda minyoo ila kwa lishe na jitahidi sana ale vizuriOk sasa nenda uwaone madaktari watakupa ushauri inawezekana ana minyoo au lishe mbaya samahani lakini
Mpaka hapa naamini hutamwua tenaOK, sawa labda minyoo ila kwa lishe na jitahidi sana ale vizuri
Sina bastora sasa, umesha wahi fanya?Mbwa huwa anapigwa risasi 1 tuu ya kichwa, kwisha hzbari!
OK, sawaMlete Masaki atapata mtu atakaye mtunza tena atakuwa ana ishi ndani wala sio nje!
Mtafute mtu akusaidie kumgawa bure, lakini please usimuue jamani kiumbe mzuri sana huyo!
Gharama zao zipo je kuna dog trainer mmoja aliniambia yeye anafundisha kwa laki2 mpaka3Ipo shule hapo Bahari beach na nyingine kerege tumepeleka mmbwa wetu hapo
Nipo dar captainUpo mji gani mkuu nije kumchukua?
Kutoka dar mpaka iringa Simchezo joh,Mpeleke mkoa jirani....Iringa itapata soko
Kwanini huaminiHawa Mbwa ni Belgium Malinois siyo kabisa wanakuwa wakali sana infact hii post siamini sana maana
Usimuue ila kama unataka awe mkali mvutishe bange!Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Aisee!!Usimuue ila kama unataka awe mkali mvutishe bange!

Kwanini huamini

Hapana sio huyo kamandaHuyu sindiye yule aliyekua akitafutwa kule kwenye parking ya meli kisha ikasemekana alikua tuition![]()
Kwanini na roho ya ajabuUna roho ya ajabu
Mpe mtu