dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
- Thread starter
- #101
Wewe ni mhehe niniMnoga hiyo nielekeze ulipo nimfuate
Wewe ni mhehe niniMnoga hiyo nielekeze ulipo nimfuate
MjitaKabila lako tafadhari
hilo haliwezekaniSawa na kusema wewe ukipungukiwa nguvu za kiume mkeo akuue.!
Ungeweka picha ya mbwa mwenyewe ungepata ushauri mzuri wala usihitaji kumwua tena.
ukifuga mnyama siku unataka kumwuuza unajisikia vibaya simbuse kumwuua.
Sawa!! KamandaSumu ya panya ile ya chenga chenga ukimchanganyia na hiyo nyama uliyoiandaa hatochukua dakika kwisha
Yapi? Hayokuna matusi fulani hv nimekutukana !
Tatizo Nilisha "Mhasi "ni dumeMuuzie MTU awe wa MBEGU kuliko kumuuwa, utakuwa huna fadhila kama waitara pale alipokuwa mkali kabla ya wezi kufanya yao.Au mpeleke shule akasome kozi zinafundishwa.
Ccm tena ameingiaje hapaKwani ccm wamekukosea nn
Kangi, huyu hamfai captainKampe kangi lugola
Walimlisha kitu na dawa walimpulizia toka hapo si mkali tenaWalimfanyia figisu gani hao wezi?
Due usimuue heri ukamuache Jirani na machinjoni awe akijitafutia chakula, tafuta wazungu uwape free wamtunze hadi akimaliza mda wake wa uhaiTatizo Nilisha "Mhasi "ni dume
Duuhnitafute nikupe BANGE na majani fulani hivi umchanganyie.. alaf uje nae akiwa amekatwa mkia kama cm5 hivi,, alaf muache kwangu siku 7.. uje umchukue
ANGALIZO kwako kuwe na fensi kubwa tu
Hii si hatari sasaNini? HizoKama alifanyiwa figisu na wez, ebu jaribu kuangalia nahii.. zake zipo? na kama hazipo hicho ndio chanzo cha uzuzu alio nao.
Kuku tofauti na mbwa kamandaIla Mkuu unavyochinjaga kuku huwa unakuja kuomba kibali huku? au ni swaga
Sio yeyeMbona anafanana na yule askari tunayemtafta?
Huyu hapaJe, mbwa anayelengwa ndo huyu? Hivi kweli Dingimoto anamwogeshaga? Naomba Dingimoto atoe jibu kwa hoja ya uogeshaji, malazi na chakula bila kusahau dawa za kutoa minyoo na chanjo ya rabies. Halafu nitamwambia kitu.
Ok sasa nenda uwaone madaktari watakupa ushauri inawezekana ana minyoo au lishe mbaya samahani lakini