Nataka kumuua mbwa

Nataka kumuua mbwa

Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
waite modokta wa mifugo watamchoma sindano na atakufa
 
Naye ana only one life, kwa nini uchukie wewe hiyo laifu yake? Muuze tu.
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Mbwa mwenyewe Kakaa uchi
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Weka picha halisi...
 
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
Mkuu; huyo mbwa wako ni dume au ni jike? Ana umri gani? Kwani kosa lake nini? Hebu vuta taswira ya binadamu anavyokua (Grow) katika maisha au kuishi kwake. Kwa mfano, Je, Wale watu tulio waona au kusikia habari zao za Ukali/Ubabe eg. Mike Tyson, Mohamed Ally and the like walibaki (Static) kuwa hivyo-hivyo tuu au nao ilifikia mahali/muda nao wakapoa? Usimwue bali endelea kumtunza kwani ulishapata huduma yake(Ulinzi/Ukali) yaani ulishakula fadhili zake. Wewe Ukimwua kwa makusudi ni sawa na kukamilisha usemi kwamba "shukrani ya punda ni mateke". Hakika utakuwa hujamtendea haki na hivyo Roho yake itakulilia. Kubali-Usikubali lakini UKWELI ndo huo. Nakushauri mwuze au mpe mtu anayemuhitaji. Kama ni dume nipe mimi nifanyie kazi ya crossbreeding. Lakini weka picha yake halisi sio hiyo ya ku-download. Aisee acha ukatili kwa viumbe wa Mungu.
 
Mbona mbwa mwenyewe hana ilani ya chama? Muue tu kivyovyote, Kwa ajali sawa, Kwa sumu itapendeza zaidi au Kwa risasi itakupunguzia gharama! Ila Kwa Ballot box Itakua ngumu kumuua!
 
Sio vzur mkuu usiue kikatili kwa sumu.mgawe au nenda kwa watu wa wanyama wamuue kwa njia isiyo na maumivu.kumbuka alikuwa rafiki yako huyo before usifanye hvo aisee
 
Back
Top Bottom