Nataka kumuacha ila nampenda

Nataka kumuacha ila nampenda

UjingA wa maamuz yako kisa elimu utakuponza usikariri eti kisa umesoma basi unatakiwa uwe na msomi mwenzio utafail totaly na hiyo elimu yako mpende akupendae ...

*** u bullshit nigga..
 
Sa Mungu akupe nini au tumwite manyau nyau akupe jini ....?? Aisee wewe imekaa vibaya ka kali P...
 

Attachments

  • IMG_6886026975488.jpeg
    IMG_6886026975488.jpeg
    18 KB · Views: 219
Sa Mungu akupe nini au tumwite manyau nyau akupe jini ....?? Aisee wewe imekaa vibaya ka kali P...
shidaaaa.....
 

Attachments

  • IMG_6831812542334.jpeg
    IMG_6831812542334.jpeg
    31.6 KB · Views: 170
kipindi unashusha mistari yako elimu yake ulikuwa huioni? sasa hivi umefika chuo kikuu ndo unaona elimu yake haifai, ndo zenu wanaume mnapenda kupotezea muda wasichana.
 
sio nyie kila cku humu mnasema wasomi sio wa kuoa mnataka std7??? vp mbona mwawakana tena!! teh teh teh!


wanaume siku hizi wamekuwa wabwete wa fikra na kazi. wanataka ambaye hajielewi ila atafute hela amtunzie watoto na amtunze yeye
 
wanaume siku hizi wamekuwa wabwete wa fikra na kazi. wanataka ambaye hajielewi ila atafute hela amtunzie watoto na amtunze yeye


wanadai wanawake hatujui wht we want wakati hata wao hawajitambui, ngoja twende hivi hivi kitaeleweka tu!
 
wanadai wanawake hatujui wht we want wakati hata wao hawajitambui, ngoja twende hivi hivi kitaeleweka tu!


mi huwa nachekaga saana wanaume wa siku hizi hata mgegendo wanatoa kimasihara hivyohivyoooo
mtu yuko busy nataka demu :mwembamba kiasi mahipsi yakutosha, awe white kidizaini, mchangamfu lakini asiwe anaongea,matiti yawe saa 6 all the time, macho kama kinyonga hiviii, awe na elimu ya f4-std7 , awe na unywele mzuur lakini sipendi anayesuka ni garama, awe axposed tu ze welid, awajengee wazazi wangu gorofa na wadogo zangu wasomeshwe, awe tunasaidiana majukumu na anitunze nakunihudumia kama mmewe, awe bonge.....


ni huyo mtu mmoja hata hawajielew hawa gorilas ahhhhh typing erorr
 
mi huwa nachekaga saana wanaume wa siku hizi hata mgegendo wanatoa kimasihara hivyohivyoooo
mtu yuko busy nataka demu :mwembamba kiasi mahipsi yakutosha, awe white kidizaini, mchangamfu lakini asiwe anaongea,matiti yawe saa 6 all the time, macho kama kinyonga hiviii, awe na elimu ya f4-std7 , awe na unywele mzuur lakini sipendi anayesuka ni garama, awe axposed tu ze welid, awajengee wazazi wangu gorofa na wadogo zangu wasomeshwe, awe tunasaidiana majukumu na anitunze nakunihudumia kama mmewe, awe bonge.....


ni huyo mtu mmoja hata hawajielew hawa gorilas ahhhhh typing erorr

hahahaaaa!!! ngoja tuwawowe sasa!! uwii imejityp hii.
 
-Matumizi ya herufi kubwa na ndogo bado huyajui.
-Matumizi ya x badala s.
-Hivi chuoni mwaka wa kwanza hukujifunza communication skills tena 1 na 2?

Matumiz Ya Herufi Kubwa Na Ndogo N Aina Ya Simu Nnayo Tumia. Alaf Pia Katika Uandish Siyo Kila Sehem Naandka Hv
 
If u really love her and the reason behind kutaka kumwacha ni elimu bas nakushauri usifanye hvyo mkuu. Katka maisha ya ndoa knachomata ni mapenz ya dhati. Kama unaweza kumwendeleza kielem bas itakuwa poa bt kama anaweza business pia unaweza kumwezesha. Dada zetu wa siku hzo hawaeleweki (si wote) unaweza pata msom mwenzio ila salary yote ikaishia kujhudumia mwenyewe na ukahtajka kuongezea matumiz yake binafsi....so kama ulioa uktegemea ntasaidiana life ikawa sivyo tena.
 
Love does not ask why..........

You are absolutely right KikulachoChako! and it speaks from the heart... let me recommend you Jack the great listen to your heart first, how does it says about that poor little girl, other wise listen to this song..Celine Dion- love doesn't ask why, you will find your answers.
 
sio nyie kila cku humu mnasema wasomi sio wa kuoa mnataka std7??? vp mbona mwawakana tena!! teh teh teh!

Hata mimi huwa naona wasomi wanapondwa..haya leo wifi yetu wa standard7 naye et hajasoma..makubwa! 😕
 
Mi ningekuwa wewe...hata nisingeichezea hyo fursa...kuna bro wangu yeye alimaliza chuo na akabahatika ajira...akaoa mdada wa standard 7...akafanya mchakato wa kumsomesha QT..Mungu akasaidia akafaulu..akaunga wee had sahv anasoma chuo flan tena huku kajishikiza kwenye kampun moja ya mawasiliano..mbona maisha yao ni mazuri tu na yana amani! labda wewe utakuwa hujampenda huyo mdada kwa dhati..kumbuka "what goes around comes around" zingatia mkuu.
 
Back
Top Bottom