Jack da great
Member
- May 10, 2013
- 36
- 4
- Thread starter
- #21
Hommie ukitaka mwanamke mwenye Elimu utakesha koz wa chuo wote wana watu wao either chuo ama home..? Mke mwema ni Heshima na kukujali wewe na kila ulichonacho ukijumuisha na family.?soo kama unataka Mke i think she is material but slap&sleep then move on tuu
Nmekuxom Man Coz Mtu Mwenye Elim Anajibu Kwa Argument Cy Kwa Kupayuka