Nataka kumuacha ila nampenda

Nataka kumuacha ila nampenda

Hommie ukitaka mwanamke mwenye Elimu utakesha koz wa chuo wote wana watu wao either chuo ama home..? Mke mwema ni Heshima na kukujali wewe na kila ulichonacho ukijumuisha na family.?soo kama unataka Mke i think she is material but slap&sleep then move on tuu

Nmekuxom Man Coz Mtu Mwenye Elim Anajibu Kwa Argument Cy Kwa Kupayuka
 
Kama ameishia darasa la saba si umwendeleze tu? huna mapenzi na yeye hata kidogo.
 
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Ila nkakuta ana mambo adimu nikawa nimenasa kwake nikashindwa kutoka Ofcause ni mzuri na anatabia nzuri ananipenda ila kaishia Darasa la saba nataka kumwacha ila kuna roho haitaki.

Pia yeye alitaka kujiua nlipo mwambia kuhusu hilo na yeye kaniganda so nifanyeje maana roho ya huruma inanijia ninapotaka kumwacha.

ImageUploadedByJamiiForums1422275776.886381.jpg
 
JF naona siku hizi imeingiliwa na watoto wa form three ila wanajiita wako chuo kikuu mwaka wa tatu hii ni hatar sana. VUTA NKUVUTE Mzee tupa tupa wa Lumumba njoo watoto wanalia huku.
 
Asayeee Wewe ni katili au Mwizi wa fadhila !! hiyo tabia itakuCost !! huyu ni binti wa mtu na mwana wa watu mwenye hisia na heshima aishi kama mwanaAdamu yyt.
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Kwa nia na maneno yako hayo juu....... its too bad !! Naomba ujirekebishe....
 
sasa we wataka mungu akupe nini mkuu!! wenye elimu mnasema wasumbufu wasio na elimu hamuwataki! kwann usimsogeze sogeze kwenye elimu nae atoe mtongo tongo halafu mjasonga mbele wakati nae upeo wake umeongezeka katika kupambanua maisha?? au lazima asomeshwe na wazazi wake?
 
We panya road unajifanya mtaalamu wa kuchagua wa chuo sisi tunao hao wa chuo ni wajuaji mpaka tunataman kuvunja ndoa.
 
Asayeee Wewe ni katili au Mwizi wa fadhila !! hiyo tabia itakuCost !! huyu ni binti wa mtu na mwana wa watu mwenye hisia na heshima aishi kama mwanaAdamu yyt.
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.

Kwa nia na maneno yako hayo juu....... its too bad !! Naomba ujirekebishe....

Usijal Mkuu Nimekusoma
 
JF naona siku hizi imeingiliwa na watoto wa form three ila wanajiita wako chuo kikuu mwaka wa tatu hii ni hatar sana. VUTA NKUVUTE Mzee tupa tupa wa Lumumba njoo watoto wanalia huku.

Uwezo Wako Wa Kufikilia Ndo Ulipo Ishia So It Not Your Problem.
 
Back
Top Bottom