sio nyie kila cku humu mnasema wasomi sio wa kuoa mnataka std7??? vp mbona mwawakana tena!! teh teh teh!
Eti kuna roho haitakii..huna lolote mbahili wa vyote boom limeisha unahaha jf...nenda mbele..
Mimi nipo Chuo kikuu mwaka wa tatu kuna msichana nilikuwa nataka kupiga na kusepa.
Ila nkakuta ana mambo adimu nikawa nimenasa kwake nikashindwa kutoka Ofcause ni mzuri na anatabia nzuri ananipenda ila kaishia Darasa la saba nataka kumwacha ila kuna roho haitaki.
Pia yeye alitaka kujiua nlipo mwambia kuhusu hilo na yeye kaniganda so nifanyeje maana roho ya huruma inanijia ninapotaka kumwacha.
Ni pm namba ake nioe mie
Kama unamuonea huruma usimuache, subiri mpaka yeye akuache wewe.
kama unapenda elimu kaoe library basiiii...
acha ujinga dogo elimu toka mwanza haukuwa kigezo cha kuoa wew cha msingi jipange na uweze kumuoa tu.leo hii ndoa ngap za wasomi ndan hakukariki acha malingalinga wew oa tu huyo ndio wako ndio maana anakupa vitu adim elim ni ppte ili mladi ana hakiri timamu..acha kula kula uwe na msimamo umekua..
Wewe ni matorokoko kabisa
Hebu kajifunze kwanza kuandika kiswahili ndo urudi hapa,mwaka wa tatu chuo hujui kuandika kiswahili kinachoeleweka unaendekeza mapenzi tu
SIO KUFIKILIA ni KUFIKIRIA.............Huo Ndo Mwisho Wako Wa Kufikilia.
hahaha hajambo tunapiga mzigo kama kawa....nimeamua kutumia nasaha zakoMdosi hajambo?
Nmekuxom Man Coz Mtu Mwenye Elim Anajibu Kwa Argument Cy Kwa Kupayuka