Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Wakuu nipo kwenye mahusiano nisiyoyaelewa kwa maana kuna mwanamke nipo nae nampenda sana ila yeye inaonyesha hanipendi lakini nikijitahidi kusema nimkaushie nashindwa.
Mwanzoni alikuwa ananipenda sana kweli lakini kadiri siku zinavyozidi ndio upendo umepungua. Yaani wiki nzima mimi ndio namtafuta nikisema nikae kimya nae anakaa kimya. Akinitafuta basi anaomba hela.
Inaniuma sana nataka kumuacha ila nashindwa,
Nifanyaje wakuu?
Mwanzoni alikuwa ananipenda sana kweli lakini kadiri siku zinavyozidi ndio upendo umepungua. Yaani wiki nzima mimi ndio namtafuta nikisema nikae kimya nae anakaa kimya. Akinitafuta basi anaomba hela.
Inaniuma sana nataka kumuacha ila nashindwa,
Nifanyaje wakuu?