MoonBoy
Senior Member
- Jul 15, 2016
- 195
- 133
Naombeni ushauri ndugu zangu, acheni kunicheka au kunikejeli, nitawashukuru sana
Tukizungumzia swala upendo, Kiukweli sijui namna ya kupenda ipoje,
Ni miaka minne ya mahusiano ya mbali, yaani mkoa hadi mkoa. Kiukweli nampenda na pia ananipenda sana. Haikuwa rahisi kuonana kwetu, lakini mwaka jana mwishoni niliweza kwenda mkoani kwao kwa nia ya kulipa kila kitu niweze kuondoka nae. Lakini jambo la kushangaza, nilimkuta ana mtoto mdogo kuliko mahusiano yetu.. Ni dhahiri kuwa nilisalitiwa, iliniuma sana, ukilinganisha ndie mwanamke wa pekee katika moyo wangu,
Kiukweli ilikua ni ngumu kumtoa moyoni kwa haraka, nilishindwa kumuacha kabisa, ishu ni kwamba ni mwanamke aliekubali kuendana na maisha yangu. Na pia amejutia kwa kitendo cha kunisaliti na kupata mtoto ndani ya mahusiano yetu, Kiukweli amejutia sana. Na amekubali kumuacha mtoto wake wa miezi 10 na kuja kuishi namimi.
Mwezi wa jana aliweza kutoroka toka mkoani kwao na kuja mkoani kwangu. Ila nilimrudisha kwao nikimtaka asubiri nimfuate.
Sasa nawaza sana, nimuoe yeye au nifanyeje, mana kuna wakati nawaza sana.. Hivi wanawake wameisha mpaka nioe mwanamke alie nisaliti...
Naombeni ushauri wenu. Kiukweli nashindwa kumuacha ila napata mawazo kuhusu usaliti alio ufanya... Nipeni ushauri wenu tafadhali
Tukizungumzia swala upendo, Kiukweli sijui namna ya kupenda ipoje,
Ni miaka minne ya mahusiano ya mbali, yaani mkoa hadi mkoa. Kiukweli nampenda na pia ananipenda sana. Haikuwa rahisi kuonana kwetu, lakini mwaka jana mwishoni niliweza kwenda mkoani kwao kwa nia ya kulipa kila kitu niweze kuondoka nae. Lakini jambo la kushangaza, nilimkuta ana mtoto mdogo kuliko mahusiano yetu.. Ni dhahiri kuwa nilisalitiwa, iliniuma sana, ukilinganisha ndie mwanamke wa pekee katika moyo wangu,
Kiukweli ilikua ni ngumu kumtoa moyoni kwa haraka, nilishindwa kumuacha kabisa, ishu ni kwamba ni mwanamke aliekubali kuendana na maisha yangu. Na pia amejutia kwa kitendo cha kunisaliti na kupata mtoto ndani ya mahusiano yetu, Kiukweli amejutia sana. Na amekubali kumuacha mtoto wake wa miezi 10 na kuja kuishi namimi.
Mwezi wa jana aliweza kutoroka toka mkoani kwao na kuja mkoani kwangu. Ila nilimrudisha kwao nikimtaka asubiri nimfuate.
Sasa nawaza sana, nimuoe yeye au nifanyeje, mana kuna wakati nawaza sana.. Hivi wanawake wameisha mpaka nioe mwanamke alie nisaliti...
Naombeni ushauri wenu. Kiukweli nashindwa kumuacha ila napata mawazo kuhusu usaliti alio ufanya... Nipeni ushauri wenu tafadhali