kipepeo mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 244
- 71
Aise We Nouma Sana Nmeipenda Hy!
Omunga chukua jiko hilo naona Jack anambwela tu. 😡
Aise We Nouma Sana Nmeipenda Hy!
Ndo Madude Gan Ayo
Mi ningekuwa wewe...hata nisingeichezea hyo fursa...kuna bro wangu yeye alimaliza chuo na akabahatika ajira...akaoa mdada wa standard 7...akafanya mchakato wa kumsomesha QT..Mungu akasaidia akafaulu..akaunga wee had sahv anasoma chuo flan tena huku kajishikiza kwenye kampun moja ya mawasiliano..mbona maisha yao ni mazuri tu na yana amani! labda wewe utakuwa hujampenda huyo mdada kwa dhati..kumbuka "what goes around comes around" zingatia mkuu.
Yawezekana umemzidi muda tu wa kukaa darasani lakini akawa na busara zaidi yako
Omunga chukua jiko hilo naona Jack anambwela tu. 😡
Omunga chukua jiko hilo naona Jack anambwela tu. 😡