MBUZI MWENYE BUSARA
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 143
- 151
Wakuu habari za hapa jamvini?
Nitumbukie kwenye mada yenyewe.
Ni hivi nilijenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu moja master, sebule, dining, stoo na public toilet katika plot mbili tofauti na sehemu tofauti pia moja wilayani kwetu na nyingine katika kata yangu. Sasa kote nimeshindwa kuendeleza na nipo mjini nalipa Kodi nyumba. Sasa maisha yamenigonga kweli kweli.
Nimeamua sasa kuuza plot moja na msingi wake ile ya kwenye kata nije nijenge kwa dharura chumba kimoja na sebule tu bila mbwembwe nyingi. Nimempata mteja anataka kwa milioni tatu tu! Je kwa pesa hii nitamaliza hiyo project?
Wataalam msaada.
Nikishajenga hicho chumba na sebule familia itakaa humo wakati naendeleza jengo kubwa.
Nitumbukie kwenye mada yenyewe.
Ni hivi nilijenga msingi wa nyumba ya vyumba vitatu moja master, sebule, dining, stoo na public toilet katika plot mbili tofauti na sehemu tofauti pia moja wilayani kwetu na nyingine katika kata yangu. Sasa kote nimeshindwa kuendeleza na nipo mjini nalipa Kodi nyumba. Sasa maisha yamenigonga kweli kweli.
Nimeamua sasa kuuza plot moja na msingi wake ile ya kwenye kata nije nijenge kwa dharura chumba kimoja na sebule tu bila mbwembwe nyingi. Nimempata mteja anataka kwa milioni tatu tu! Je kwa pesa hii nitamaliza hiyo project?
Wataalam msaada.
Nikishajenga hicho chumba na sebule familia itakaa humo wakati naendeleza jengo kubwa.