Ujenzi Chumba, Sebule na Dinning

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,553
3,515
Salaam wakuu!

Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi ni flat.

Natanguliza shukrani.

IMG_20221001_131935.jpg
 
Nitafute nikujengee kiwanja Lipo wapi kama udongo mfinyanzi notaanza na mawe msingi alafu napandisha tofali japo kupata ufa miaka Mia nane, tofali tunahesabu kulingana na ukubwa Wa vyumba,

Karibu tukujengee nyumba ya kisasa kwa Bei poa sana
 
Nitafute nikujengee kiwanja Lipo wapi kama udongo mfinyanzi notaanza na mawe msingi alafu napandisha tofali japo kupata ufa miaka Mia nane, tofali tunahesabu kulingana na ukubwa Wa vyumba,
Karibu tukujengee nyumba ya kisasa kwa Bei poa sana

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Udongo sio mfinyanzi mkuu. Alaf bado hujanisaidia majibu ya swali langu. Kupata majibu ndo kutaamua nianze lini mchakato ikiwa ni pamoja na kutafuta fundi.
 
Salaam wakuu!

Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi ni flat.

Natanguliza shukrani.

View attachment 2373766

Makadirio ya tofali za msingi;
1. Ramani yako ina jumla ya mita 60.5
2. Kina mita inajengwa na tofali 2.1
3. Hivyo mita 60.5x tofali 2.1 kwa kila mita=tofali 127 kwa laini moja.

4. Ikiwa msingi wako utakuwa na laini 7;
127×7=890.

Kwanini laini 7;
A) Mara nyingi nyumba ya kawaida huchimbwa msingi wa kina cha 50cm kwenda chini

B) ikiwa kina 50cm...blinding/zege nyembamba kabla ya kulaza tofali ni unene wa inch 2=5cm.
Hivyo kina cha 50cm-5cm 45.

C) kina cha 45cm kilichobali zitaingia laino 3 za tofali=127×3=381

D) baada ya laini tatu ambazo zitaishia level/usawa wa ardhi, laini zingi 4 zitakuwa juu ya ardhi sawa 60cm kwenda jui kutoka usawa wa ardhi.
127×4=508

E) Chukua 381+508=889
Msingi wako itakuwa na tofali 890.

Itajengwa na saruji/cement kiasi gani?

Kwa kawaoda tofali za msingi ni saizi ya unene wa inch 6 na hujengwa kwa kulaza tofali.
Mfuko mmoja wa cement hujenga tofali 30 hadi 35
Hivyo 890÷35=26
Note: Tofali zaweza kuengezeka au kupungua kidogo...kadhalika cement
 
Makadirio ya tofali za msingi;
1. Ramani yako ina jumla ya mita 60.5
2. Kina mita inajengwa na tofali 2.1
3. Hivyo mita 60.5x tofali 2.1 kwa kila mita=tofali 127 kwa laini moja.

4. Ikiwa msingi wako utakuwa na laini 7;
127×7=890.

Kwanini laini 7;
A) Mara nyingi nyumba ya kawaida huchimbwa msingi wa kina cha 50cm kwenda chini

B) ikiwa kina 50cm...blinding/zege nyembamba kabla ya kulaza tofali ni unene wa inch 2=5cm.
Hivyo kina cha 50cm-5cm 45.

C) kina cha 45cm kilichobali zitaingia laino 3 za tofali=127×3=381

D) baada ya laini tatu ambazo zitaishia level/usawa wa ardhi, laini zingi 4 zitakuwa juu ya ardhi sawa 60cm kwenda jui kutoka usawa wa ardhi.
127×4=508

E) Chukua 381+508=889
Msingi wako itakuwa na tofali 890.

Itajengwa na saruji/cement kiasi gani?

Kwa kawaoda tofali za msingi ni saizi ya unene wa inch 6 na hujengwa kwa kulaza tofali.
Mfuko mmoja wa cement hujenga tofali 30 hadiv35
Hivyo 890÷35=26
Note: Tofali zaweza kuengezeka au kupungua kidogo...kadhalika cement
Mkuu nakushukuru sana. Mpaka hapo tayar ushatatua shida yangu na nimepata elimu kubwa. Hapa sasa nianze kuweka hela au kununua tofali kwa kufuata muongozo huu.
 
Back
Top Bottom