yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Salaam wakuu!
Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi ni flat.
Natanguliza shukrani.
Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi ni flat.
Natanguliza shukrani.