street_child
Member
- May 10, 2023
- 5
- 8
Habarini wanandugu, nataka kuingia kwenye ujenzi ila kwa kuanza na nyumba ndogo kwanza ya chumba kimoja na sebule, kisha nihamie ndo nianze kujenga nyumba kubwa.
Plot ipo kigamboni na ni tambarare kabisa.
Naangalia pia fundi wa kufanya nae ujenzi huu.
Natanguliza shukrani.
View attachment 2617381View attachment 2617382
Plot ipo kigamboni na ni tambarare kabisa.
Naangalia pia fundi wa kufanya nae ujenzi huu.
Natanguliza shukrani.
View attachment 2617381View attachment 2617382