Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Natafuta wasambazaji wa kijarida cha bure walioko Tanzania TU!! Mpango uliopo sasa ni kuwa kijarida hicho cha kutoka kwenye mtandao kitakuwa katika PDF file. Unachotakiwa kufanya (mchango wako) ni hivi:
Ya kujua:
- Kijarida kitakuwa na kurasa nne kama ukichapisha upande mmoja na kurasa mbili kama unachapisha mbele na nyuma.
- Kijarida kitakuwa na maoni/hoja nzito, habari, mambo ya mtandaoni (kama kutoka JF) na burudani, pamoja na habari za kiingiereza in brief.
- Kijarida ni cha bure kabisa kwa msomaji. Nitaingia gharama zote za kutengeneza.
- Hakuna matangazo yoyote ya biashara na hakifungamani na itikadi, siasa, au mtazamo wowote wa kisiasa au dini.
- Kina lengo la kuwafanya Watanzania wabadili fikra zao na kuweza kuona kuwa na wao wanastahili vilivyo vyema, wanaweza makuu, na wanawajibika kuyaleta wale wanayoyatamania.
Unachotakiwa kufanya:
1. Tuma email yako kwa mhariri@klhnews.com
2. Katika email yako weka simu yako na nitazungumza nawe ili kuondoa namna yoyote ile ya kuvamiwa na mafisadi. Hutaki kuweka simu yako, usitume email.
Maelekezo mengine ya marketing utayapata kwenye email.
Kama huna lengo/nia/Uwezo wa kusambaza usitume email.
Our Motto: "Moto mkubwa huanzishwa kwa Cheche".....
Ya kujua:
- Kijarida kitakuwa na kurasa nne kama ukichapisha upande mmoja na kurasa mbili kama unachapisha mbele na nyuma.
- Kijarida kitakuwa na maoni/hoja nzito, habari, mambo ya mtandaoni (kama kutoka JF) na burudani, pamoja na habari za kiingiereza in brief.
- Kijarida ni cha bure kabisa kwa msomaji. Nitaingia gharama zote za kutengeneza.
- Hakuna matangazo yoyote ya biashara na hakifungamani na itikadi, siasa, au mtazamo wowote wa kisiasa au dini.
- Kina lengo la kuwafanya Watanzania wabadili fikra zao na kuweza kuona kuwa na wao wanastahili vilivyo vyema, wanaweza makuu, na wanawajibika kuyaleta wale wanayoyatamania.
Unachotakiwa kufanya:
1. Tuma email yako kwa mhariri@klhnews.com
2. Katika email yako weka simu yako na nitazungumza nawe ili kuondoa namna yoyote ile ya kuvamiwa na mafisadi. Hutaki kuweka simu yako, usitume email.
Maelekezo mengine ya marketing utayapata kwenye email.
Kama huna lengo/nia/Uwezo wa kusambaza usitume email.
Our Motto: "Moto mkubwa huanzishwa kwa Cheche".....