rutajwah
Member
- Nov 17, 2022
- 90
- 91
Habari wanjf,
kutokana na tatizo la ajira linaloendelea hapa nchini, ujuzi wa ufundi ndo suluhisho pekee la kuondokana na changamoto hii.
Hivyo natafuta vijana ambao wako tayari kujikwamua kimaisha ila wamekwama kwa namna moja au nyingine waje tuunganishe nguvu mawazo ili tupambane na changamoto hii.
Ujuzi unaohitajika
Kwa alie tayari anicheki inbox or wahtsappp +255674664154
kutokana na tatizo la ajira linaloendelea hapa nchini, ujuzi wa ufundi ndo suluhisho pekee la kuondokana na changamoto hii.
Hivyo natafuta vijana ambao wako tayari kujikwamua kimaisha ila wamekwama kwa namna moja au nyingine waje tuunganishe nguvu mawazo ili tupambane na changamoto hii.
Ujuzi unaohitajika
- Electronics
- Electrical
- IT
- Plumbing
- Etc
Kwa alie tayari anicheki inbox or wahtsappp +255674664154