Natafuta Stethoscope ya daktari used ya kununua, hata ikiwa mbovu sawa tu. Doctors mwenye Stethoscope mbovu atucheki

Natafuta Stethoscope ya daktari used ya kununua, hata ikiwa mbovu sawa tu. Doctors mwenye Stethoscope mbovu atucheki

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,437
Reaction score
35,963
Habari wadau.

Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia.

Tunaitumia kushutia igizo la sanaa.

Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie

Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715

th (17).jpeg
 
Habari wadau.

Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia.

Tunaitumia kushutia igizo la sanaa.

Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie

Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715
Hili dili sasa limenidondokea ,wacha kesho nizibebe hapa job .
Uko wapi wewe nikuletee mzigo ?
 
Habari wadau.

Natafuta Stethoscope used. Hata ikiwa mbovu haifanyi kazi nahitaji pia.

Tunaitumia kushutia igizo la sanaa.

Pia kwa wanaojua wapi used zinauzwa naombeni mniambie

Najua humu kuna watu wengi.. kwa mwenye nayo anauza anipigie namba 0754003715

View attachment 3335004
Ninayo bei 200000 chap kwa haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom