Weh🤔Natafu rafiki ambaye tutakua tunaongea kiingereza tu, ni kwajili ya kupractice english speaking , mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware. im a man. karibu PM kwa mawasiliano zaidi
Nipo hapa. Ila ni cha SMS.Natafu rafiki ambaye tutakua tunaongea kiingereza tu, ni kwajili ya kupractice english speaking , mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware. im a man. karibu PM kwa mawasiliano zaidi
Jinsia yako ni ME au KE? Are you Male or Female? Welcome. Broken English is allowed.mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware
Pm me please, we're togetherNatafu rafiki ambaye tutakua tunaongea kiingereza tu, ni kwajili ya kupractice english speaking , mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware. im a man. karibu PM kwa mawasiliano zaidi
Check you tomorrow broI'm ready please reach me through 0754807947
Mwaka huu Narudi shule 😂Nipo hapa. Ila ni cha SMS.
Upo sahihiUshauri..! Badala ya kumualika kila mtu DM kwa nini usitengeneze Telegram group alafu invite watu kisha pratice ukiwa kule
Advantage yake unaweza kuweka group call mkawa manongea mada tofauti tofauti kwa mda maalum mfano kuanzia saa moja atayekuwa online unaongea nae bila ku leak real identiy ya mtu kama huku kwenye jukwaa
Watu wengine hawapendi kujulikana