SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,800
- 8,989
Kwenye kutoa ushauri nasaaaKwenye nini niitwe🤔
Kwenye kutoa ushauri nasaaaKwenye nini niitwe🤔
Naomba nikae kimya nisije kukufuru.Nimeamini kwani huna vigezo vya kuwa na rais!!
Dah! Heshima mbele mkuuNaomba nikae kimya nisije kukufuru.
🙏🏽🙏🏽
Naomba heshima itawale tafadhali🤝.
Intelligent businessman naomba huu utani usitishwe mara moja.
Haya mkipishana mje niwape ushauri 😎😊Kwenye kutoa ushauri nasaaa
Best yangu mwanangu ndege 😂😂Basi humpendi best yako
😂😂namtania tu SweetyCandyWewe wa kunifanyia hivi jirani
usiogopeeee penda kujaribu jaribu bwanKamserereko sio kazuri wakati mwingine
Nyege za hovyohovyo. Zinazokufanya utumie akili yako yote kipata uleleziHaha upwiru ni nini
sasa mbona huku kwetu kawaida tuEh kujaribu mioyo ya watu ni hatari
Wewe mwanangu wa faida kabisa karibu mjini 😎Anhaa hapo sawa 🙂
We nae ukiniharibia utafaidika nini mxiiiiiuuuu😂😂😂😂😂😂 Au sio umemuona kama kitonga hv kudadek
Si utakuja kwangu..We nae ukiniharibia utafaidika nini mxiiiiiuuuu
hata ujenge sijiSi utakuja kwangu..
Sasa hv nimepanga bana sikai hom
Buza ndo wapi tena huko dunianiWapi huko Buza?