kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
Nilikuwa natania tu hapoSijakuelewa
Nilikuwa natania tu hapoSijakuelewa
TumshauriNingekuja wapi tena jirani?
Mimi nilimshauri asitafute mchumba humu atapigwa na kitu kizito hasikii😂😂Tumshauri
Tena mimi ndiyo sifai kabisa umesahau nyuzi zangu za wababaz😂😂Sasa nilisema mchumba uwe wewe ili kitu kizito kiwe chepesi hutaki
Mbona unaupelekesha mbio.moyo wangu kama PSGhata ujenge siji
mbona apo bado,,au niongeze manjonjoMbona unaupelekesha mbio.moyo wangu kama PSG
Plz utaniuaaaaaa...mbona apo bado,,au niongeze manjonjo
NiuePlz utaniuaaaaaa...
Unajua unatumia udhaifu wangu huu kuniahadhibu.. na unajua sina cha kufanya
Hiko kiti siwezi hata wanipe pesa kias gani..Niue
Hahahaha 😂 😂 😂 😂 😂 hii bange ulolamba leo ni hataaareeeeHiko kiti siwezi hata wanipe pesa kias gani..
Nipo tayari wanipige mawe ila tu nione uwepo wako humu una smile..
Unajua upendo kitu cha ajabu sana just imagine nikaacha na tabia ya mishangazi kisa kupenda...
Maisha haya yana siri ndefu mno naimani siku moja takua nasimulia humu jf jinsi gani maisha nimepitia mpaka sasa mwaka wa kumi katika ndoa
Kwenye aya ya kwanza ungeongezea wasiopenda hela. Au pesa kwako sio tatizo?KWEMA WANAJUKWAA.
Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.
Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.
Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Kupnda ni more than mjani 😂😂😂😂Hahahaha 😂 😂 😂 😂 😂 hii bange ulolamba leo ni hataaareeee
Naomba ulale😂😂😂Kupnda ni more than mjani 😂😂😂😂
UnWeza sema bange kumbe mwenzako kafata ukoko kakosa...
Ikabidi anunue unga ile apike
et ges ikawa inalia puu puuu
bora kam kakutuma Mpaji Mungu 😌nipe namba yako piemu 😀
Mmmmh hili galasa babuuu😅🙆🏽Huyo atakupa malavi davii master anajua kucare 😀
Kichechenipe namba yako piemu 😀