Natafuta garage nzuri kwa ajili ya IST New model

Herry jr

Member
Oct 16, 2020
74
131
Mimi ni mkazi wa DSM eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.

Hivi karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikuwa ina leakage na nozzle zilikuwa hazi spray mafuta vizuri kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nimepeleka gari kwa fundi hivi sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahisi hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Nimechoshwa sasa, natafuta garage nzuri kwajili ya hizi gari zenye umeme mwingi, hiyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.

Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
 
Mungu akutie Nguvu,binafsi namiliki kikorona cha mwaka 98 sijawahi kubomoa chochote zaidi ya kubadili oil na vyuma vichokavyo chini ya gari na popote naenda hata mlima wa kuelea mbinguni inapandisha bila tabu mpaka wenye magari yaitwayo mapya wanashangaa namshukuru Mungu kwa neema hiyo.
 
Mm ni mkazi wa dsm eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.

Hv karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikua ina leakage na nozzle zlkua hazi spray mafuta vzr kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nimepeleka gari kwa fundi hv sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahc hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Nmechoshwa sasa, natafuta gerage nzuri kwajili ya hz gari zeny umeme mwing, hyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.

Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
IST new model ndio ikoje? Ninachojua Toyota walisitisha kutoa ISTs mwaka 2016
 
IST new model ndio ikoje? Ninachojua Toyota walisitisha kutoa ISTs mwaka 2016
Wewe umeelewa hoja ya mleta mada lakini hapa umekuwa kuzunguka tu. Sote tunajua kibongo kibongo kuwa latest version ya gari inayoonekana mitaani kwa uchache miongoni mwa gari nyingine nyingi za brand hiyo hiyo zinazotrend mitaani hiyo ndio new model kwetu.

Sasa msaidie mleta mada, wapi anaweza kutatua shida yake.
 
Mkuu kwanza pole kwa yalikukuta.
Hv karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikua ina leakage na nozzle zlkua hazi spray mafuta vzr kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nozzle za petrol huwa na ngumu sana kuziba unless kama gari ni D4 maana hizi zina tabia sana ya kutengeneza carbons(Ist new model siyo D4).

Nozzle huwa inakuwa commanded na ECU kwamba iteme mafuta kiasi gani. Hivyo kutreat tatizo la mafuta kuingia kidogo kwenye engine kama tatizo la nozzle ni makosa.

Likitokea tatizo lolote kwenye engine management(sensors za engine, valves, wires au modules). Effect huwa inaenda kuonekana kwenye fuel injection. Unatakiwa kuwa makini sana kutreat matatizo ya misfire.



Nimepeleka gari kwa fundi hv sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahc hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Ulinunua control box nyingine baada ya hapo gari ikawa na shida gani?,

Why mlisafisha engine?

Sielewi mlifikaje kwenye kufungua engine, maana kama engine ina compression, haigongi, haili Oil, kufungua engine ni kujitafutia matatizo ambayo yametulia tu paleeee.


Nmechoshwa sasa, natafuta gerage nzuri kwajili ya hz gari zeny umeme mwing, hyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

IST Old model na new model hazitofautiani sana engine, Kwenye new model vinaongezeka vitu vichache kama EGR Valve, real O2 sensor n.k. na engine ya new model inafana exact na engine 1nz ya Ractis au Sienta.

Kila la heri mkuu.



Extrovert njoo uone toyota pasua kichwa huku.
 
Mkuu kwanza pole kwa yalikukuta.


Nozzle za petrol huwa na ngumu sana kuziba unless kama gari ni D4 maana hizi zina tabia sana ya kutengeneza carbons(Ist new model siyo D4).

Nozzle huwa inakuwa commanded na ECU kwamba iteme mafuta kiasi gani. Hivyo kutreat tatizo la mafuta kuingia kidogo kwenye engine kama tatizo la nozzle ni makosa.

Likitokea tatizo lolote kwenye engine management(sensors za engine, valves, wires au modules). Effect huwa inaenda kuonekana kwenye fuel injection. Unatakiwa kuwa makini sana kutreat matatizo ya misfire.





Ulinunua control box nyingine baada ya hapo gari ikawa na shida gani?,

Why mlisafisha engine?

Sielewi mlifikaje kwenye kufungua engine, maana kama engine ina compression, haigongi, haili Oil, kufungua engine ni kujitafutia matatizo ambayo yametulia tu paleeee.




IST Old model na new model hazitofautiani sana engine, Kwenye new model vinaongezeka vitu vichache kama EGR Valve, real O2 sensor n.k. na engine ya new model inafana exact na engine 1nz ya Ractis au Sienta.

Kila la heri mkuu.



Extrovert njoo uone toyota pasua kichwa huku.
Hizi IST new model si zina engine ya 2ZR-FE ambayo ni sawa na 1ZZ-FE tu sema inakuwa ni Dual VVT-i ambayo imefungiwa CVT gearbox.

Kilichomponza mwana ni kiherehere wala gari haina shida. Hivi gari ukiiosha engine na maji unapata faida gani? Yani unapopeleka gari Car wash ikasafishwa vizuri kwenye body na matairi inakuwa haitoshi mpaka watu wasafishe na engine ukamringishie nani engine ikiwa safi? Au nani anaona kwenye bonnet humo
 
Mm ni mkazi wa dsm eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.

Hv karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikua ina leakage na nozzle zlkua hazi spray mafuta vzr kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nimepeleka gari kwa fundi hv sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahc hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Nmechoshwa sasa, natafuta gerage nzuri kwajili ya hz gari zeny umeme mwing, hyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.

Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
Picha
 
Mm ni mkazi wa dsm eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.

Hv karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikua ina leakage na nozzle zlkua hazi spray mafuta vzr kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nimepeleka gari kwa fundi hv sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahc hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Nmechoshwa sasa, natafuta gerage nzuri kwajili ya hz gari zeny umeme mwing, hyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.

Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
😓Ulipeleka Kwa wagonga nyundo wa london
 
Hizi IST new model si zina engine ya 2ZR-FE ambayo ni sawa na 1ZZ-FE tu sema inakuwa ni Dual VVT-i ambayo imefungiwa CVT gearbox.

Kilichomponza mwana ni kiherehere wala gari haina shida. Hivi gari ukiiosha engine na maji unapata faida gani? Yani unapopeleka gari Car wash ikasafishwa vizuri kwenye body na matairi inakuwa haitoshi mpaka watu wasafishe na engine ukamringishie nani engine ikiwa safi? Au nani anaona kwenye bonnet humo
Toa msaada wa gerage nzuri kaka acha kuomlaaumu mtu kaomba msaada msaidieni...
 
Hizi IST new model si zina engine ya 2ZR-FE ambayo ni sawa na 1ZZ-FE tu sema inakuwa ni Dual VVT-i ambayo imefungiwa CVT gearbox.
IST second gen zina variant 4.

Kuna zenye

1NR-FE 1.3L,

1NZ-FE 1.5L,

2ZR-FE 1.8L

1ND-TV 1.4L Turbo diesel

Labda yeye atuambie yake ni Cc ngapi...

Niliizungimzia 1nz kwa sababu ndio engine iliyozoeleka huku kwetu. By the way sijakutana sana na hizo gari....
 
IST new model ndio ikoje? Ninachojua Toyota walisitisha kutoa ISTs mwaka 2016
Wataalamu wanasema, kizazi cha mwisho, kitaendelea kuitwa New model, hata kama kina miaka ishirini, mpaka kuje kizazi kingine hii lugha hutumika kwenye magari.

Labda uelezee unavyofahamu wewe, inamwelezeaje mtu, ili aelewe utofauti wa gari ya aina moja, ila imepishana matoleo.
 
Mm ni mkazi wa dsm eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model.

Hv karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikua ina leakage na nozzle zlkua hazi spray mafuta vzr kweny engine gari ikawa ina miss na kukosa nguvu.

Nimepeleka gari kwa fundi hv sasa tunaenda week ya 3 bdo2 ana hangaika nayo, nahc hata control box wameunguza wao nikapeleka kuchomelea but haikufanya kazi 100%, now nmenunua mpya kwa gharam kubwa imewekwa, shida ilianzia nilipowaambia wasafishe engine, mpk sasa engine ishafunguliwa mara 3, na kuna mda walisahau bolt juu kweny piston ya engine.

Nmechoshwa sasa, natafuta gerage nzuri kwajili ya hz gari zeny umeme mwing, hyo gerage iwe na usalama mkubwa ili niweze kuacha gari yangu nikiwa na amani.

Mafundi wengi wanajinyima riziki wao wenyewe.

Namba ya sim: 0783 242247 (ipo watsapp pia)
Mtafute huyu jama anajibu hapa anaitwa JituMirabaMinne
 
Mungu akutie Nguvu,nagari haya binafsi namiliki kikorona cha mwaka 98 sijawahi kubomoa chochote zaidi ya kubadili oil na vyuma vichokavyo chini ya gari na popote naenda hata mlima wa kuelea mbinguni inapandisha bila tabu mpaka wenye magari yaitwayo mapya wanashangaa namshukuru Mungu kwa neema hiyo
Na gari yangu pia ni Corona, ni mashine haswaa. Safari ndefu ndio nyumbani, mwaka wa nne huu mimi mabadili oil na matairi.
 
Mungu akutie Nguvu,nagari haya binafsi namiliki kikorona cha mwaka 98 sijawahi kubomoa chochote zaidi ya kubadili oil na vyuma vichokavyo chini ya gari na popote naenda hata mlima wa kuelea mbinguni inapandisha bila tabu mpaka wenye magari yaitwayo mapya wanashangaa namshukuru Mungu kwa neema hiyo
Hatari sana hiki chuma
IMG_20230106_101613.jpg
 
Hizi IST new model si zina engine ya 2ZR-FE ambayo ni sawa na 1ZZ-FE tu sema inakuwa ni Dual VVT-i ambayo imefungiwa CVT gearbox.

Kilichomponza mwana ni kiherehere wala gari haina shida. Hivi gari ukiiosha engine na maji unapata faida gani? Yani unapopeleka gari Car wash ikasafishwa vizuri kwenye body na matairi inakuwa haitoshi mpaka watu wasafishe na engine ukamringishie nani engine ikiwa safi? Au nani anaona kwenye bonnet humo
Kweny combustion chamba juu ya zile piston kulkua na uchafu mwing sana, fundi akanishauri usafishwe ili kuongeza ufanisi wa kuchoma mafuta kuepusha gari isiwe inatumia mafuta mwengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom