We mwizi tafuta shughuli halali yakukuingizia kipato. Wana-JF nikiwa ni mzawa wa Nduruma nawataadharisha sana na huyu jizi.....Boss unaweza ukapita na hamsini zako nobody needs u here hauna jipya mimi ni mwizi wacha nishike masikio watu
Kisima cha mita 70 -Tshs 1,800,000, inatoa 360 L/h
Kisima cha mita 80 -Tshs 5,000,000, inatoa 1800L/h
Kisima cha mita 120 - Tshs 6,500,000, inatoa 2100L/h
Bei hizo zina cover
-Dc submersible pump
-Charge Controllers
-Solar Panels
-Metal fabrication works
Accessories(rape, insulation kit, copper cable, PVC pipe)
-Installation service
Mkuu fuatilia angalizo niliyotoa kwenye post zangu kule juu dhidi ya huyu jamaa! Hili lijamaa nili-"Kaka-Jambazi", location ambayo amesema ndipo project yake ilipo (Nduruma), ndio nyumbani kwetu, ila kiuhalisia pale kijijini kwetu (Nduruma) na vijiji vinavyotuzunguka (i.e Mlangarini, Maji moto, Marurani, Mzimuni,Lokii, Kigongoni,Kichangani,Bwawani,Mungushi etc) hakuna project kama hiyo anayoizungumzia! Nimetoa angalizo msijemkalizwa na hili litapeli......Hebu njoo chenba tuzoze nahitaji kule Simanjiro
Hy etc mwandate huoajui pako karibu na mungushiii? Mzee baba ukiwa umezaliwa huko sio kama ndo wajua kila sehem kama hupajui hamma anakulalamikiaMkuu fuatilia angalizo niliyotoa kwenye post zangu kule juu dhidi ya huyu jamaa! Hili lijamaa nili-"Kaka-Jambazi", location ambayo amesema ndipo project yake ilipo (Nduruma), ndio nyumbani kwetu, ila kiuhalisia pale kijijini kwetu (Nduruma) na vijiji vinavyotuzunguka (i.e Mlangarini, Maji moto, Marurani, Mzimuni,Lokii, Kigongoni,Kichangani,Bwawani,Mungushi etc) hakuna project kama hiyo anayoizungumzia! Nimetoa angalizo msijemkalizwa na hili litapeli......
We TAPELI usiendelee kuni-quote nshakuambia! Tafuta shughuli halali yakukuingizia kipato. Wana-JF nikiwa ni mzawa wa Nduruma naendelea kuwataadharisha sana na hili jizi.....Hy etc mwandate huoajui pako karibu na mungushiii? Mzee baba ukiwa umezaliwa huko sio kama ndo wajua kila sehem kama hupajui hamma anakulalamikia
Afu watu kuweni na mashiko mtu akiwa ni mwizi by this time nimesha achana na hii mambo ya kujaribu kuwaelekeze hyu jamaa anajifanya anajua kila kitu ila ni bogaz
Mkuu Inatosha! Unaweza kumlazimisha ng'ombe kwenda mtoni ila huwezi kumlazimisha kunywa maji...We TAPELI usiendelee kuni-quote nshakuambia! Tafuta shughuli halali yakukuingizia kipato. Wana-JF nikiwa ni mzawa wa Nduruma naendelea kuwataadharisha sana na hili jizi.....
Sante sna boss katika watu wameandika kitu siku ya leo ww ni wa kwanzaMkuu Inatosha! Unaweza kumlazimisha ng'ombe kwenda mtoni ila huwezi kumlazimisha kunywa maji...
Wewe umetoa angalizo, tulia! Na usifikiri wote humu ni wajinga, mwenye uthubutu atafanya! Ujasiria mali ni RISK taking so watu wamejiandaa kwa yote!
Nanikuhakikishie hakuna mtu atamtumia hela huyu Mkuu bila Kufika kwenye mradi..
So ishia hapa, acha uzi uendelee, usiharibu uzi wa watu.
Pole Mkuu! Dhahabu hupitia kwenye tanuru ili iwe Safi.Sante sna boss katika watu wameandika kitu siku ya leo ww ni wa kwanza
Tokea mwanzo nimesema siuzi shamba kwahy kukutapel inakujaje
Mind set kama ya mgibeon ndo watu wanaotakiwa hao wameangalia na hatumi kitu mpk aone mradi
Ntu embu jifunze kutoka kwa jamaa
Wabongo kwa mitandao tuko vzr kwny kuchafua kitu cha mtu
Nimejaribu kua muungwana na kujaribu kuelekeza lakn ww kichwa kimebana
Narudia tena na tena mm sio mzawa wa huko kama ntu mm niwakuja nakaa arusha mjini shamba nafika na kunasehem ya kukaa so kuanza kujua kila mtaa kama jamaa naanzia wap
Nilijieleza kwa ufupi tu ukifika nduruma stand chukua boda boda waambie mwandeti unafikishwa
Hapo tena utasema mm mwizi kwamba nimepanga na boda boda wote wa nduruma?
Na mwizi mpk saa hii asingekua anaandika ningekua nimeanzisha topic nyingine ya kushika watu
Sante sna bro for ur support watu wngine sio waelewa nashukuru kwa kumuonesha kunaambao wanafikiria wnyw
Yes.. now you are talking..Uwekezaji mzuri sana
Ngoja niangalie namna ya kutuma mtu aje huko
Nothing to loose
Watu tujifunze kua na kauli nzr tuPole Mkuu! Dhahabu hupitia kwenye tanuru ili iwe Safi.
Yani mkuu nimeenda mpk nikaongea na mkuu wa wilaya huwezi amini mpk bashe nimemtafutaYes.. now you are talking..
Unafuatilia, ukijiridhisha, ukaona utapata maslahi, unajitosa!
Usijali, ni kawaida! Na yeye pia kachangia kwa namna moja ama nyingine kufanya watu wakujue vizuri na wajue ukweli wa mradi wenyewe, ni Kumshkuru Mungu kwa Kila jambo tu.Watu tujifunze kua na kauli nzr tu
Wabongo wngi kwny social media tuna abuse sana uhutu wetu
Nilijitahid kua mngwana ila nikafika sehem nikachoka
Mm nimemaliza chuo toka mwaka 2019 naimeingia kwny kilimo ili kiweze kunitoa kiuchi kazi zimekua changamoto mishahara ni mibovuuu balaa
Miitaji ana prove ya shamba hata more pic nitatuma ni nyie tu
Bac hiyo yote ilikua ni kheri nilijua nimesha zamisha meli nyie mkiwa na maswali or any clarification msisite kuulizaUsijali, ni kawaida! Na yeye pia kachangia kwa namna moja ama nyingine kufanya watu wakujue vizuri na wajue ukweli wa mradi wenyewe, ni Kumshkuru Mungu kwa Kila jambo tu.