Mshimba1971
Member
- Dec 13, 2021
- 75
- 66
Wadau,
Niko kwenye hatua ya mwisho za kuanza mradi wa biashara ya Mboga Mboga, hii ni baada ya kufanya utafiti na majaribio kwa muda wa miezi 6 na kuwa na uhakika wa uwepo wa soko la Mboga Mboga( kwa jumla) katika eneo la Bunju B, Dar es salaam.
Naitafuta mwekezaje mwenza(Partner) atakaewekeza Tshs. 800,000 (kwaajili ya kununulia Pampu ya kumwagilia shamba na mipira ya umwagiliaji ya mita 100), na atapata gawiwo la Tshs. 500,000 kila mwezi kwa muda wa miezi 4 mfululizo(faida ya jumla kwa miezi 4 ni Tshs. 2,000,000/=). Mashine/Pampu ya umwagiriaji na mipira atakayonunua mwekezaji mwenza, itakua bado mali ya muwekezaji na anaweza ichukua baada ya mradi kuisha au msimu wa mboga mboga kuisha (miezi 4 kuanzia sasa) au kuniuzia vifaa hivyo.
Mchaganuo:
Eneo la kilimo: Shamba liko maeneno ya Bunju B, Dar es salaam.
Soko: Soko la kuuzia mboga mboga ni kina mama wanaokuja shambani na kununua kwa jumla na wao kuuza rejareja(kwenye soko la Bunju B au kwenye nyumba za wati binafsi)
Chanzo cha Maji: Kuna chanzo cha uhakika cha maji(bwawa) lililoko Mita 230 kutoka shambani).
Mchanganuo wa Mapato gafi kwa mwezi: Shamba limetoa idadi ya matuta 30 ya mboga mboga, na tunauza kwa bei ya jumla shmabani ya Tshs. 50,000 kwa kila tuta (Tshs. 50,000 x 30 = Tshs. 1,500,000 )
Gharama za uendeshaji: Tshs. 500,000 kwa mwezi(mafuta ya kuendesha pampu ya umwagiliaji na gharama zingine).
Uwekezaji niliofanya tayari(au mchango wangu kwenye mradi)
Naitaji mwekezaji mwenza mwenye nia ya dhati ya kilimo, atakaechangia Tshs.800,000 kwa makubaliano ya kupata gawiwo la Tshs. 500,000 kwa mwezi, kwa kipindi cha miezi 4. Baada ya miezi 4 tutajadiliana kuwekeza pamoja katika kilimo cha nyanya tutakazouza mwezi wa 8. Hii ni fursa ya uhakika.
Piga simu namba 0754 34 36 42, kwa mazungumzo na kuja kuliona shamba.
NB: MUWEKEZAJI ANAWEZA KUWEKEZA HELA AU AKATOA VIFAA VINAVYOITAJIKA.
Niko kwenye hatua ya mwisho za kuanza mradi wa biashara ya Mboga Mboga, hii ni baada ya kufanya utafiti na majaribio kwa muda wa miezi 6 na kuwa na uhakika wa uwepo wa soko la Mboga Mboga( kwa jumla) katika eneo la Bunju B, Dar es salaam.
Naitafuta mwekezaje mwenza(Partner) atakaewekeza Tshs. 800,000 (kwaajili ya kununulia Pampu ya kumwagilia shamba na mipira ya umwagiliaji ya mita 100), na atapata gawiwo la Tshs. 500,000 kila mwezi kwa muda wa miezi 4 mfululizo(faida ya jumla kwa miezi 4 ni Tshs. 2,000,000/=). Mashine/Pampu ya umwagiriaji na mipira atakayonunua mwekezaji mwenza, itakua bado mali ya muwekezaji na anaweza ichukua baada ya mradi kuisha au msimu wa mboga mboga kuisha (miezi 4 kuanzia sasa) au kuniuzia vifaa hivyo.
Mchaganuo:
Eneo la kilimo: Shamba liko maeneno ya Bunju B, Dar es salaam.
Soko: Soko la kuuzia mboga mboga ni kina mama wanaokuja shambani na kununua kwa jumla na wao kuuza rejareja(kwenye soko la Bunju B au kwenye nyumba za wati binafsi)
Chanzo cha Maji: Kuna chanzo cha uhakika cha maji(bwawa) lililoko Mita 230 kutoka shambani).
Mchanganuo wa Mapato gafi kwa mwezi: Shamba limetoa idadi ya matuta 30 ya mboga mboga, na tunauza kwa bei ya jumla shmabani ya Tshs. 50,000 kwa kila tuta (Tshs. 50,000 x 30 = Tshs. 1,500,000 )
Gharama za uendeshaji: Tshs. 500,000 kwa mwezi(mafuta ya kuendesha pampu ya umwagiliaji na gharama zingine).
Uwekezaji niliofanya tayari(au mchango wangu kwenye mradi)
- Shamba (limeshasafifya na kungolewa visiki)
- Nimeajiri vijana wawili wa kufanya kazi muda wote kwanye mradi
- Nimetoa Nyumba na Chakula kwajiri ya vijana wa kazi
- Usimamizi wa mradi kila siku (naishi hatua 5 kutoka shambani)
- Gari la kubebea mbolea na maitaji ya shamba
- Mbegu na mbole ya kupandia na madawa
Naitaji mwekezaji mwenza mwenye nia ya dhati ya kilimo, atakaechangia Tshs.800,000 kwa makubaliano ya kupata gawiwo la Tshs. 500,000 kwa mwezi, kwa kipindi cha miezi 4. Baada ya miezi 4 tutajadiliana kuwekeza pamoja katika kilimo cha nyanya tutakazouza mwezi wa 8. Hii ni fursa ya uhakika.
Piga simu namba 0754 34 36 42, kwa mazungumzo na kuja kuliona shamba.
NB: MUWEKEZAJI ANAWEZA KUWEKEZA HELA AU AKATOA VIFAA VINAVYOITAJIKA.