Kaka mimi ni mwenyeji wa maeneo hayo Mkuu, hakuna eneo linaloitwa mwandeti! Ukifika unguuni, kuna options tatu tu; ukishuka/ukinyooka na barabara utaelekea Bwawani/Luisi, ukikunja kulia (kwenye tank/kwa dada) utaeleka Lokii/kichangani, na ukikunja kushoto, utaelekea Marurani/maji moto.Kwa ufupi ww ukifika nduruma stand ambapo pia panaitwa uunguuni ww chukua boda boda waambie waelekea mwandeti wanakufikisha boss
Sasa Mkuu hiyo Mwandeti unayoisemea iliyopo Unguuni ni ipi Mkuu???