Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Ni ajira/kipato tu.Safari hii nauza hata hii simu aliyonipa mama nianze biashara kubwa tu ya kuchuuza karanga na bigi jii/jojo.
Tutaimiss kwa muda michango yako JF ukiuza hiyo simu. Ila nina wazo tofauti na kauli yako, USIUZE SIMU bali uitumie katika kuitangaza biashara yako na kukeep connections na wateja wako. Ingawa ni biashara ndogo ila ukiifanya kisasa itakutoa mkuu. Kila la kheli katika mikakati yako.
Alafu kumbuka mleta mada Sureya nae ni mfanyabiashara, why don't you try to convince her so that you can share your business ideas to reach the same goal as kigezo kimoja tu ndio kikukatishe tamaa mkuu?
Changamka bhana😊
 
Kuna wapuuzi watahoji ujana ule na wengine, uzee unataka ule na nani?
😁😁😁😁 Na ndio ukwelii ,ww kijana wa miaka 40 unapeleka wapi kibibi Cha miaka 33
Hapa kwenye 20-29 ulikataa kuolewa mara ngapi?
😀😀😀 Alafu Leo aje ambebeshee kijana wa miaka 40 mzigo ety,,,manka atafutee helaa Kwa umri huo yeye ndio aoe mwanaume amtakaeee
 
nkikumbuka tukio nililopgwa na single faza,najikuta kukuhurumiaaaa
Huyo mlitafutana huko huko mtaani hatukuona bandiko lako la kutafuta mwerevu wa JF😆
Naamini ukijitambua na ukiwa makini utapata mtu makini hapa ndani maana wapo wengi tu.
 
Tutaimiss kwa muda michango yako JF ukiuza hiyo simu. Ila nina wazo tofauti na kauli yako, USIUZE SIMU bali uitumie katika kuitangaza biashara yako na kukeep connections na wateja wako. Ingawa ni biashara ndogo ila ukiifanya kisasa itakutoa mkuu. Kila la kheli katika mikakati yako.
Alafu kumbuka mleta mada Sureya nae ni mfanyabiashara, why don't you try to convince her so that you can share your business ideas to reach the same goal as kigezo kimoja tu ndio kikukatishe tamaa mkuu?
Changamka bhana😊
Ushauri umepokewa.Ngoja nimwambie na mama kabisa.
 
nkikumbuka tukio nililopgwa na single faza,najikuta kukuhurumiaaaa
Pole, unahitaji kuwa makini unapoanzisha mahusiano sio kila mtu ni sahihi kwako,unatafuta atakae kuvumilia mapungufu yako nawe mvumilie yake
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
dronedrake ubavu wako huu hapa changamkia fursa dogo
 
Huyo mlitafutana huko huko mtaani hatukuona bandiko lako la kutafuta mwerevu wa JF😆
Naamini ukijitambua na ukiwa makini utapata mtu makini hapa ndani maana wapo wengi tu.
humu tena, mbona nasikia ndo kuna matatizo balaa
 
Pole, unahitaji kuwa makini unapoanzisha mahusiano sio kila mtu ni sahihi kwako,unatafuta atakae kuvumilia mapungufu yako nawe mvumilie yake
kwakweli umesema vema,ila matatzo mengine hayavumiliki ujue,,kutaka tufe wenzio 😆😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom