Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,965
- 95,390
Ina sikitisha sana, apunguze kelele ili apate kijana wa hovyo 😁Mm nampenda sana Mtoa mada ila vigezo vimenikataa
Ina sikitisha sana, apunguze kelele ili apate kijana wa hovyo 😁Mm nampenda sana Mtoa mada ila vigezo vimenikataa
Kijana wa maana niko hapa na pm ipo wazi 24hrs 😎Ina sikitisha sana, apunguze kelele ili apate kijana wa hovyo 😁
Ina sikitisha sanaKijana wa maana niko hapa na pm ipo wazi 24hrs 😎
Vipi ulipata? Nimekaa nimetafakari, nimeona mwaka huu niachane na lile genge la wahuni na wawindaji wa kataa ndoa.Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Ukipata wawili nigawie mmojaVipi ulipata? Nimekaa nimetafakari, nimeona mwaka huu niachane na lile genge la wahuni na wawindaji wa kataa ndoa.
kaka we si ulisema tuko pamoja kwenye chama cha kataa ndoa linda maisha yako?Ukipata wawili nigawie mmoja
dah chama kina kosa wauminiVipi ulipata? Nimekaa nimetafakari, nimeona mwaka huu niachane na lile genge la wahuni na wawindaji wa kataa ndoa.