Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,582
- 23,572
Mchagga huyo hawezi kuwa na chura zaidi ya miguu kama mwamvuliWajinga watakuja kuulizia chura. Wapuuze tafadhali
Mchagga huyo hawezi kuwa na chura zaidi ya miguu kama mwamvuliWajinga watakuja kuulizia chura. Wapuuze tafadhali
Wapo aisee wana mizigonya kutosha tuuMchagga huyo hawezi kuwa na chura zaidi ya miguu kama mwamvuli
Ungepata wifiKaka angu angekuwa anaeleweka ningekufanyia mpango sema ndiyo hivyo, pombe mwanaharamu
Kabisa kabisa mkuuUngepata wifi
Mkee sii ndio huyu sasa hataki mengi. Vipi kama huna mpango wa kuwa na watoto mie nipo tayari kuwa husband wako...yaani sie tunaoa na kula raha za dunia...dubai cape town kote huko nakuoeleka my wife.Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Hakuna muoaji hapaMkee sii ndio huyu sasa hataki mengi. Vipi kama huna mpango wa kuwa na watoto mie nipo tayari kuwa husband wako...yaani sie tunaoa na kula raha za dunia...dubai cape town kote huko nakuoeleka my wife.
Mie sina mtoto na sina mpango wa kuwa na mtoto.
Jua likizama ndo nibebe yoyote mmmh ndoa sio habar ya mtu yoyoteSasa wewe miaka 33 alafu una masharti kama ya wa miaka 15, jua lishazama changamka.
AMinaMungu akutangulie Sureya. Naimani utakutana na mtu ambaye ni sahihi kwako kwa hitaji la moyo wako. Cheers🍻
Coca kwani wewe umeshaolewa?🤔Kila la kheri kwako Dear. Lol
AminaAllah akupe hitaji la moyo wako. Wawili ni bora kuliko mmoja 🤗
Msalimie baba ndegeKabisa kabisa mkuu