Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Kimefiti kabisa.Awe na huruma kwenye ajira/kipato.Kila nikitaka kuondoka kwa wazazi wananikatalia.Wananiambia mimi ningali kijana mdogo mtaani nitahangaika.Basi, ndiyo nimekaa tu hapa.Ila safari hii sikubali.Lazima nioe.
Angalia usijejikuta umetimiza 50 bado uko under your parents roof ohoo,
Au akili za kataa ndoa zimekung'ang'ania?😂😂
 
Angalia usijejikuta umetimiza 50 bado uko under your parents roof ohoo,
Au akili za kataa ndoa zimekung'ang'ania?😂😂
Ni ajira/kipato tu.Safari hii nauza hata hii simu aliyonipa mama nianze biashara kubwa tu ya kuchuuza karanga na bigi jii/jojo.
 
Mi nimetimiza vigezo vyote, ila mpaka nionje nikiridhika tuoane
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Huu Uzi asiuone Natafuta Ajira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom