Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,736
- 89,326
Anaogopa labda anaweza kutokea filimasoni.Mshazeeka na bado mnaleta leta vigezo wewe yeyote atakayetokea mchukue
Anaogopa labda anaweza kutokea filimasoni.Mshazeeka na bado mnaleta leta vigezo wewe yeyote atakayetokea mchukue
kwani ina sizeUmeagiza Amazon huo.Subiri delivery tu.
Hujawahi kuinvestigate, achana na shuhuda za waliokuwa wanajaribu wakakutana na wajaribu wenzao. Binafsi nina shuhuda za marafiki ambao they found their soulmates humu na mpaka sasa mambo fresh na wanafamilia....humu tena, mbona nasikia ndo kuna matatizo balaa
Kwa kwelii. 😚😚Haha ndio mumeo huyo, tunachosubiri ni UBARIKIO TU😊
Weeee basi wacha mwakani majira kama haya nijaribu bahati yanguHujawahi kuinvestigate, achana na shuhuda za waliokuwa wanajaribu wakakutana na wajaribu wenzao. Binafsi nina shuhuda za marafiki ambao they found their soulmates humu na mpaka sasa mambo fresh na wanafamilia....
Unafunga kamba special zenye lastic.kwani ina size
Let it be now. Kwenye maisha vipaumbele haviepukiki na daima vipo tu. Wahenga wanasema "Chelea chelea......."😆😆Weeee basi wacha mwakani majira kama haya nijaribu bahati yangu
Itabidi yeye ndio atoe mahari sasa kwa mwanaume 🤣😂😂😂 daah nilikuwa nikijua sisi wanaume ndo hua tunatafuta kumbe hata wanawake mnatafutaga nikutakie kheri
Hahaha amna bwana, ngoja nitulie kwanza🤣🙌🏾Let it be now. Kwenye maisha vipaumbele haviepukiki na daima vipo tu. Wahenga wanasema "Chelea chelea......."😆😆
Dk za lala salama milio imeanza kusikikaHabari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Sa si mchukuane tu na huyu bi mdadaIpo siku nami humu nitatoa tangazo nikitafuta mke😃
Atakuwa bado anasikilizia mchongo fulani.Sa si mchukuane tu na huyu bi mdada
ili apate pesa ya posaAtakuwa bado anasikilizia mchongo fulani.
Hahaha unanishawishi eti eh though vigezo alivyovitaka vyote ninavyo 😄Sa si mchukuane tu na huyu bi mdada
manake na watoto unao si ndio 😌Hahaha unanishawishi eti eh though vigezo alivyovitaka vyote ninavyo 😄