fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,676
- 23,984
Upo kwa wazazi ila kigezo cha umri umekitimiza vizuri au vipi mkuu?😂Muda wa kampeni huu.Ulofa na kukosa kazi kunanikosesha waif matirio.Punguza hapo kwenye kazi/kujiajiri mpendwa.Mimi bado nipo kwa wazazi.