Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

Daaaa yaani kijana wa miaka 35 akaoe bibi wa miaka 33 na uku Kuna vitoto vya 2000 vibichi alafu Bado inabanaa 🤔🤔 ..ww manka ukiwa na miaka 20 uliniringiaa sana Kila nikikufata ulikuwa unasema mm cyo type Yako mweeeee 😀 😀

Ngoja nimcheki Babu yangu km anaongeza mke ntakushtua..
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Weww bikra? Au wamekunyambua vya kutosha ikulu imebaki kama bwabwa ndio unatafuta SIMP?

CC: Natafuta Ajira Xi Jinping Rebeca 83 Lamomy binti kiziwi ephen_
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Daah..siku hizi mpaka wachagga wanatangaza kuolewa??nilikuwa najua wanawake wakichagga ni adimu sana...nani madini sana
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Daah! Wakati unang'aa miaka 18 hadi 25 ulidhani utaendelea hivyo? Sasa miaka mingine 8 hadi 33 jumla miaka 15 unapigwa pipe mbususu bado hipo kweli? Usitutanie!
 
Upo kwa wazazi ila kigezo cha umri umekitimiza vizuri au vipi mkuu?😂
Kimefiti kabisa.Awe na huruma kwenye ajira/kipato.Kila nikitaka kuondoka kwa wazazi wananikatalia.Wananiambia mimi ningali kijana mdogo mtaani nitahangaika.Basi, ndiyo nimekaa tu hapa.Ila safari hii sikubali.Lazima nioe.
 
Habari wakuu
Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa
Sifa zangu
Miaka 33
Kabila mchaga
Dini Mkristo
Sina mtoto
Naishi Dsm
Kazi Biashara
SIfa za mwanaume
Miaka 35 -45
Dini Mkristo
Watoto wasizid 2 km atakua nao
Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha
Makazi popote Tanzania akiwa Dar na mikoa
ya jiran itapendeza zaidi
NB: Naomba km huna sifa tajwa hapo juu usije pm tafadhali asanteni
Muwe mnapokea salamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom