Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,924
- 20,912
Hahah unataka nisaliti chama changu hadharani.Hujasema unatafuta mke Ulisema unataka marafiki
#KataaNdoa2028
Hahah unataka nisaliti chama changu hadharani.Hujasema unatafuta mke Ulisema unataka marafiki
Ana afya nzuri, hatopata maradhi ya moyo.Kila la kheri ,miaka 25 una kilo 50? Ongeza mwili huo.
AstakafirulilahiSilimu ujichukulie ustadhati
Vitu vyako kabisa kaka, petite portable.Ana afya nzuri, hatopata maradhi ya moyo.
Kwa huo urefu wa 5' 2" kilo 50 ni sawa tu.
Tujichanganye tuone😅😅 umesahu juzi kwenye uzi wa watu wanene ulisemaje 😁😁😁😁😁 kwamba
Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
Kila la kheri kwake
Anhaa sawaHahah unataka nisaliti chama changu hadharani.
#KataaNdoa2028
Mkuu angekula angalau 60-70hawa ndo wenyewe sasa. Unampiga zile style za kumning'iniza hewani, ni mikito tu bablai
Angekua mshangazi bas ningejiita BanadeerSilim tu mkuu, kanzu tsh elf 10.....chukua jiko tunywe chai na kalmati bajeti ya ndoa haifiki mil 13
😎 hebu niache MkuuTujichanganye tuone😅😅 umesahu juzi kwenye uzi wa watu wanene ulisemaje 😁😁
Ni pm insha allah kama kweli una nia ya nusraHabari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
Yaani kiswahili chenu kinanishinda kweli, sasa hapo unaelewa nini...kijana anakuja, "ooh faza mi sielewi, nifosie mazingira basi". Sisi wazee tunapata shida sana.Anaambiwa "Ma mtu nifosie mazingira" 😂😂😂😂
Hongera unajua kujieleza vizuriAsanteni