spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Nenda polepole mbele mteremko mkali
Nipo haoe ni on inboxHabari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
NipoHabari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
NipoHabari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
😂😂😂Kwahiyo tunaamisha majeshiNgoja nikomae tu na mtoa mada miminash 😅😅
Tushawahi kukuona 😂😂😂😂😂 mna uhakika gani? kama mimi siyo jitu la miraba minne?
Dah iv mnawazaga nini? Umenifanya mpaka nimepaliwa na konyagi hapaIli uje umtese, ku mcheat, na kumtumia, Kaa mwenyewe tu hivyo hivyo
Kipotabo Kila mtu apende moyo wake unapoangukiaKila la kheri ,miaka 25 una kilo 50? Ongeza mwili huo.
Ananifaa huyoNakuombea
Dah iv mnawazaga nini? Umenifanya mpaka nimepaliwa na konyagi hapa
Ndiyo mnavyojidanganya?Tushawahi kukuona 😂😂😂
Kama upo tayar kuwa wa pili karibu.Habari, mimi ni binti nina miaka 25 natafuta mume wa kumpenda na kumuheshimu sifa kuu awe na hofu ya mungu (dini Muslim) na mpambanaji anayetambua wajibu wake kama mwanaume.
Muonekano wangu ni mzur wa kawaida, urefu 155cm na mwili wangu wa wastani 50kg, ninajishughulisha na ufundi cherehani na ufumaji pia na pia najiendeleza na stashahada.
Asanteni
Ila JF kwahiyo una mzuzu kamanda 😂😂😂Ndiyo mnavyojidanganya?
Unazingua🤣🤣🤣ⓘ 𝘠𝘰𝘶 𝘤𝘢𝘯'𝘵 𝘴𝘦𝘦 𝘵𝘩𝘪𝘴 𝘤𝘰𝘮𝘮𝘦𝘯𝘵 𝘣𝘦𝘤𝘢𝘶𝘴𝘦 𝘺𝘰𝘶 𝘢𝘳𝘦 𝘶𝘴𝘪𝘯𝘨 𝘢 𝘤𝘩𝘦𝘢𝘱 𝘮𝘰𝘣𝘪𝘭𝘦 𝘱𝘩𝘰𝘯𝘦