DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,737
- 47,560
Weka picha kwanza tuone then umetembea kilometers ngapi?
mzabzab power to youBwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi kwa jina naitwa witness John Temba ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Hapa wacha nichangamkie fursamzabzab power to you
Acha wivu Mkuu mwenzie ataki kuolewa na babu wa kizunguWanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.
Huu uzi ni wa mdada kweli?
Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?
Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Uzuri anahitaji ambao hatuna kazi 😅 acha tuzame pm sieeehWanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.
Huu uzi ni wa mdada kweli?
Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?
Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Mkuu Sema zaidi kuhusu wewe, dini, unapenda nini hupendi nini na je upo tayari kuishi na mwanaume ukamheshimu na kumsikiliza ili yeye akupende kama maandiko yanavyotaka?Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.
Huu uzi ni wa mdada kweli?
Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?
Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
dahNational Anthem finaly tumefikiwa....mrembo anataka ata jobless cha msinginde libolo linafanya kazi