Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi kwa jina naitwa witness John Temba ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
mzabzab power to you
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteremko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Acha wivu Mkuu mwenzie ataki kuolewa na babu wa kizungu
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Uzuri anahitaji ambao hatuna kazi 😅 acha tuzame pm sieeeh
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro.
Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Mkuu Sema zaidi kuhusu wewe, dini, unapenda nini hupendi nini na je upo tayari kuishi na mwanaume ukamheshimu na kumsikiliza ili yeye akupende kama maandiko yanavyotaka?

Ndoa ni mambo mengi lazima uainishe, sisemi vigezo ila taswira ya maisha ya ndoa unayoyahitaji
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteretemko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom