luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,071
- 21,379
Embu wacha hizo utakuwa unabaki home kuoshaa vyombo sahau mambo ya heshima.Mkuu Sema zaidi kuhusu wewe, dini, unapenda nini hupendi nini na je upo tayari kuishi na mwanaume ukamheshimu na kumsikiliza ili yeye akupende kama maandiko yanavyotaka?
Ndoa ni mambo mengi lazima uainishe, sisemi vigezo ila taswira ya maisha ya ndoa unayoyahitaji
M.b huu uzi uko hapa kuona mtakavyo jidhalilisha kuzama pm mkijua mnaenda kitoboa.